Dk.Shein amewaapisha Wakuu wa Mikoa wapya pamoja na Naibu Katibu Mkuu
07 Dec 2017
568
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali
Mohammed Shein,akimuapisha Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe. Hassan Khatib Hassan,hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali
Mohamed Shein, akimuapisha Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Mhe. Hemed Suleiman
Abdallah , hafla hiyo imefanyika Ikulu
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali
Mohamed Shein, akimuapisha Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kazi Uwezeshaji Wazee Vijana Wanawake na Watoto Zanzibar Mhe Mwanajuma Majid Abdallah
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali
Mohamed Shein, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi wakiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa Serikali baada ya kumalizika hafla ya kuapishwa kwa Wakuu wa Mikoa na Naibyu Katibu Mkuu Ikulu