Ikulu Blog

Kilele cha Sherehe ya Mapinduzi Zanzibar January12, 2018

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akiwasalimia Wananchi waliohudhuria sherehe za maadhimisho ya Miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar yalioadhimishwa katika Uwanja wa Amaan Zanzibar.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akiwasili katika Uwanja wa Amaan Zanzibar kuhudhuria sherehe za Miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar akiwa katika msafara maalum wa mapikipiki.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akipokea salamu na kupigwa mizinga 21 wakati wa sherehe za Maadhimisho ya Miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar yalioadhimishwa katika Viwanja vya Amaan Zanzibar.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akikagua bwaride Maalum la maadhimisho ya Sherehe za Miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar yalioadhimishwa katika viwanja vya Amaan Zanzibar.
  • BAADHI ya Wananchi na Wageni waalikwa wakihudhuria maadhimisho ya sherehe za Miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliofanyika katika Viwanja vya Amaan Zanzibar.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akikagua bwaride Maalum la maadhimisho ya Sherehe za Miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar yalioadhimishwa katika viwanja vya Amaan Zanzibar.
  • RAIS wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na Viongozi wa Jukwaa Kuu wakisimama wakati wa kutowa salamu na kupigwa mizinga 21 kuadhimisha miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliofanyika katika Uwanja wa Amaan Zanzibar.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia wakati wa hafla ya sherehe za kuadhimisha Miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar katika viwanja vya Amaan Zanzibar.
  • MABALOZI wanaowakilisha Nchini zao Tanzania wakiwasili katika Uwanja wa Amaan Zanzibar kuhudhuria sherehe za Miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar
  • MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akisalimiana na Rais Mstaaf wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete alipowasili katika Uwanja wa Amaan Zanzibar.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi D.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Makamo wa Rais Mstahafu Tanzania Dk. Gharib Bilal wakatia alipowasili kwenye kilele cha sherehe za Mapinduzi Zanzibar kwenye uwanja wa Amani Zanzibar.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohammed Shein Akisaliniana na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli alipowasili katika viwanja vya Amaan, kuhudhuria sherehe za miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
  • RAIS wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Omar Othman Makungu alipowasili katika Uwanja wa Amaan Zanzibar kuhudhuria sherehe za Miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar
  • RAIS wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mama Fatma Karume Mke wa Rais wa Kwanza wa Zanzibar alipowasili katika Uwanja wa Amaan Zanzibar kuhudhuria sherehe za Miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar
  • RAIS wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia jambo wakati akisamiana na Rais Mstaaf wa Tanzania Dkt Jakaya Kikwete alipowasili katika viwanja vya Amaan, kuhudhuria sherehe za miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
  • MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akisalimiana na Mke wa Rais wa Kwanza wa Zanzibar Mama Fatma Karume, alipowasili katika Uwanja wa Amaan kuhudhuria hafla ya sherehe za Miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
  • RAIS Mstaaf wa Tanzania Mzee Ali Hassan Mwinyi akisalimiana na Viongozi wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama wakati akiwasili katika Viwanja wa Amaan Zanzibar kuhudhuria sherehe za Miaka 54 ya Mapinduzi Zanzibar.
  • MAKAMU wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samiha Suluhu Hassan akisalimiana na Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Omar Othman Makungu alipowasili katika viwanja vya Amaan Zanzibar.
  • MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akisalimiana na Meya wa Mji wa Zanzibar Mhe Khatib Abdurahaman Khatib wakati akiwasili katika viwanja vya Amaan kuhudhuria sherehe za kuadhimisha Miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
  • WAZIRI Mkuu wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akisalimiana na Makamanda wa Vikosi vya Ulinzi wa Tanzania wakati akiwasili katika viwanja vya amaan Zanzibar kuhudhuria sherehe za miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar
  • MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Rais Mstaaf wa Tanzania Mhe. Benjamin Mkapa wakati akiwasili katika viwanja vya Amaan Zanzibar.
  • Kikosi cha Bendera kikipita na kutowa heshima wakati wa kuadhimisha Miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
  • GWARIDE la JWTZ likipita kwa mwendo wa kasi na kutowa heshima kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein.wakati gwaride la kuadhimisha miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
  • GWARIDE la JWTZ likipita kwa mwendo wa kasi na kutowa heshima kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein.wakati gwaride la kuadhimisha miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
  • GWARIDE la JWTZ likipita kwa mwendo wa kasi na kutowa heshima kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein.wakati gwaride la kuadhimisha miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
  • MABALOZI wa Nchini mbalimbali wanaowakilisha Nchini zao Tanzania wakifuatilia sherehe za Maadhimisho ya Miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar katika viwanja vya Amaan Zanzibar.