MKUTANO WA HALMASHAURI KUU YA CHAMA CHA MAPINDUZI CCM TAIFA IKULU DAR.
30 Sep 2017
524
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pia Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Taifa Dkt.John Pombe Magufuli alipokuwa akiendesha Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Ikulu Jijini Dar es Salaam,Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara Rodrick Mpogolo,
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pia Mwenyekiti wa Chama
cha Mapinduzi CCM Taifa Dkt.John Pombe Magufuli alipokuwa akifungua Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichofanyika katika Ukumbi wa Ikulu Jijini Dar es Salaam
Baadhi ya Wajumbe wa Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa
wakimsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pia Mwenyekiti wa
Chama cha Mapinduzi CCM Taifa Dkt.John Pombe Magufuli alipokuwa akifungua Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Ikulu Jijini Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pia Mwenyekiti wa Chama
cha Mapinduzi CCM Taifa Dkt.John Pombe Magufuli alipokuwa
akifungua Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichofanyika leo katika
Ukumbi wa Ikulu Jijini Dar es Salaam
Wajumbe wa Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, kilichofanyika
leo katika Ukumbi wa Ikulu Jijini Dar es Salaam,Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungamo Mhe.Samia Suluhu Hassan,Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe.Majaliwa Kassim Majaliwa,Spika wa Bunge Jamhuri nya Muungano Mhe.Job Ndugai,Spika wa baraza la Wawakilishi la Zanzibar Mhe.Zubeir Ali Maulid,
Wajumbe wa Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa
wakimsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pia Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Taifa Dkt.John Pombe Magufuli alipokuwa akifungua kikao hicho kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Ikulu Jijini Dar es Salaam