Ikulu Blog

Rais wa Zanzibar Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi ameufunguaMskiti wa Masjid Taqwa uliyopo Bambi Wilaya ya Kati Unguja.

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi   ameondoka Zanzibar kuelekea nchini Msumbiji kuhudhuria   mkutano wa Sadc.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na Ujumbe wa Mabalozi kutoka Nchi za Nordic ikiwemo Denmark,Finland, Norway na Sweden.

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amezungumza na Madaktari Bingwa wa Kichina Ikulu Jijini Zanzibar

Dk.Hussein Mwinyi amekutana na wawakilishi wa waathirika wa Masterlife.