Ikulu Blog

Dk.Shein ahudhuria Mkutano wa Uchumi endelevu wa Bahari nchini Kenya

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia wakati akiwasilisha Tamko la Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kuhusiana na Uchumi Endelevu wa Bahari, akimuwakilisha Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt John Magufuli
  • BAADHI ya Washiriki wa Nchi mbalimbali wakifuatilia hutuba ya ufunguzi, wakati Rais wa Jamuhuri ya Watu wa Kenya Mhe. Uhuru Kenyatta akihutubia na kuufungua mkutano huo wa Uchumi Endelevu wa Bahari ,uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa Kenyatta Nairobi Nchini Kenya 26-11-2018.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa katika Mkutano pamoja na Marais wa Nchi mbalimbali waliohudhuria Mkutano wa Uchumi Endelevu wa Bahari(Sustainable Blue Economy) uliofanyika Jijini Nairobi katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Kenyatta
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia wakati akiwasilisha Tamko la Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kuhusiana na Uchumi Endelevu waBahari akimuwakilisha Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt John Magufuli.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa katika picha ya pamoja na Marais wa Nchi mbali mbali akiwemo Rais wa Jamuhuri ya Watu wa Kenya Mhe. Uhuru Kenyatta, ambao wameshiiki katika mkutano wa Kimataifa wa Uchumi Endelevu wa Bahari, uliofanyika 26-11-2018.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akipanda mti katika viwanja vya Majengo ya Ukumbi wa Mkutano wa Kimataifa ya Kenyatta Jijini Nairobi Nchini Kenya baada ya ufunguzi wa Mkutano wa Kimataifa wa Uchumi Endelevu wa Bahari, uliofanyika 26-11-2018.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa na Marais wa Nchi mbalimbali akiwemo Rais wa Jamuhuri ya Watu wa Kenya Mhe. Uhuru Kenyatta, wakielekea katika eneo maalumu lililotengwa kwa ajili ya upandaji wa miti kwa Marais waliohudhuria Mkutano huo.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Rais wa Jamuhuri ya Watu wa Kenya Mhe. Uhuru Kenyatta leo Mjini Nairobi, katika ukumbi wa Jengo la Mikutano ya Kenyatta Nairobi baada ya ufunguzi wa Mkutano waRAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Rais wa Jamuhuri ya Watu wa Kenya Mhe. Uhuru Kenyatta leo Mjini Nairobi, katika ukumbi wa Jengo la Mikutano ya Kenyatta Nairobi baada ya ufunguzi wa Mkutano wa

Uzinduzi wa Kliniki ya Meno Kivunge Kaskazini “A” Unguja.

  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (wa pili kulia) akipata maelezo kutoka kwa Joshua Christopher Nyari Mhandisi wa Kampuni ya Ujenzi ya World Class Engineering Contractas ZNZ Branchi yenye Makamo makuu yake Jijini Dar es Salaam wakati alipotembelea ujenzi wa majengo mapya ya Hospitali Kivunge Mkoa wa Kaskazini Unguja
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akipata maelezo kutoka kwa Mganga Mkuu wa Hosptali ya Kivunge Dk.Tamim Hamad Said (kulia)wakati alipotembelea ujenzi wa majengo mapya ya Hospitali Kivunge Mkoa wa Kaskazini Unguja leo,kabla ya kuzindua Kliniki ya Meno (wa pili kulia) Waziri wa Afya Mhe.Hamad Rashid Mohamed
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (wa pili kulia) akipata maelezo kutoka kwa Mkuu wa kitengo cha maabara katika Hospitali ya Kivunge Mkoa wa kaskazini Unguja Nd,Hassan Wadi (kulia)wakati alipotembelea katika Hospitali hiyo leo,kabla ya kuzindua Kliniki ya Meno (katikati) Waziri wa Afya Mhe.Hamad Rashid Mohamed
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (wa pili kulia) akimuangalia Mzazi Tatu Simai wa Kombo wa Pwani Mchangani (28) katika chumba cha watoto Njiti ambao huzaliwa hawajatimia muda katika Hospitali ya Kivunge Mkoa wa kaskazini Unguja kabla ya kuzindua Kliniki ya Meno leo,(kushoto)Waziri wa Afya Mhe.Hamad Rashid Mohamed
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akikata utepe kama ishara ya kuzindua Kliniki ya meno katika Hospitali ya Kivunge Mkoa wa kaskazini Unguja leo (kulia)Waziri wa Afya Mhe.Hamad Rashid Mohamed na Dr.Feroz Jafferji Mratibu wa taasisi ya HIPZ ya Ungereza inayotoa huduma za Afya kwa Hosptali ya Kivunge na Makunduchi(kushoto)Waziri wa Afya Mhe.Hamad Rashid Mohamed
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akifuatana na Dr. Feroz Jafferji Mratibu wa Taasisi ya HIPZ inayotoa huduma za Afya katika Hospitali ya Kivunge na Makunduchi mara baada ya kuzindua Kliniki ya meno katika Hospitali ya Kivunge Mkoa wa kaskaini Unguja (wa pili kulia)Waziri wa Afya Mhe.Hamad Rashid Mohamed
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akiwapungia mkono wananchi mara baada ya kuzindua Kliniki ya Meno leo ambayo inasimamiwa na HIPZ kutoka Uingereza ambapo inatoa huduma za Afya katika Makunduchi hospitali na Kivunge Mkoa wa kaskaini Unguja (kulia) Waziri wa Afya Mhe.Hamad Rashid Mohamed
  • Vijana wa Chama cha Mapinduzi CCM wakimkaribisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipowasili na msafara wake katika Hospitali ya Kivunge Mkoa wa Kaskazini Unguja kuzindua Kliniki ya Meno ambayo inayoendeshwa na taasisi ya HIPZ kutoka Uingereza ikiwa inatoa huduma za Afya kwa Kivunge na Hospitali ya Makunduchi chi ya usimamizi wa Dr.Feroz Jafferji (hayupo pichani)
  • Baadhi ya wafanyakazi katika Hospitali ya Kivunge na Wananchi wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akitoa hutuba yake katika sherehe ya uzinduzi wa Kliniki ya Meno sherehe zilizofanyika katika viwanja vya Hospitali hiyo ambayo kliniki hiyo huduma zake zinatolewa na taasisi ya HIPZ kutoka Nchini Uingereza
  • Vijana wa Chama cha Mapinduzi CCM wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipowasili akitoa hutuba yake katika sherehe za uzinduzi wa Kliniki ya Meno leo iliyofanyika katika Hospitali ya Kivunge Mkoa wa kaskazini Unguja Uingereza inayosimamiwa na taasisis ya HIPZ kutoka Nchini Uingereza ambapo hutoa huduma za Afya katika Hospitali ya Makunduzi na Kivunge
  • Madaktari wa kujiutolea wa HIPZ kutoka Uingerezawakiwa katika sherehe za uzinduzi wa kliniki ya meno katika Hospitali ya Kivunge Mkoa wa kaskazni Unguja leo ambapo Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) alifanya uzinduzi huo pamoja na kutembelea sehemu mbali mbali Hospitali hapo.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) alipokuwa akitoa hutuba yake katika sherehe ya uzinduzi wa Kliniki ya Meno sherehe zilizofanyika katika viwanja vya Hospitali hiyo ambayo kliniki hiyo huduma zake zinatolewa na taasisi ya HIPZ kutoka Nchini Uingereza
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) alipokuwa akitoa hutuba yake katika sherehe ya uzinduzi wa Kliniki ya Meno sherehe zilizofanyika katika viwanja vya Hospitali hiyo ambayo kliniki hiyo huduma zake zinatolewa na taasisi ya HIPZ kutoka Nchini Uingereza

Utiaji Sain Mkataba wa Mafuta na Gesi asilia.

  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na mgeni wake Mtawala wa Ras Al Khaimah Shaikh Saud bin Saqr Al Qasimi wakati alipofanya ziara ya kuitembela Zanzibar mara alipofika katika viwanja vya Ikulu Mjini Zanzibar kushuhudia utiaji wa saini mkataba wa mgawanyo wa uzalishaji wa mafuta na Gesi asilia(PSA) baina ya Serikali ya Mapinduzi na Rakgas
  • Mkurugenzi mtendaji wa Kampuni ya Rakgas L.L.C ya Ras Al Khaimah Bw.Kamal Mohamed Ataya(kulia) Waziri wa ardhi, Maji,Nishati na Makazi Mhe.Salama Aboud Talib (katikati) Mkurugenzi Katika Kampuni ya Maendeleo ya Mafuta Zanzibar (ZPDC)Nd,Mwanamkaa Abdulrahman Mohamed wakitia saini mkataba wa mgawanyo wa uzalishaji wa mafuta na Gesi asilia(PSA) baina ya Serikali ya Mapinduzi na Rakgas sherehe iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu Mjini Zanzibar
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akizungumza na ujumbe wa Mratibu wa Umoja wa Mataifa (UN) hapa Zanzibar Bibi.Dorothy Temu-Usiri  walipofika Ikulu Mjini Zanzibar.Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akizungumza na ujumbe wa Mratibu wa Umoja wa Mataifa (UN) hapa Zanzibar Bibi.Dorothy Temu-Usiri walipofika Ikulu Mjini Zanzibar.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na mgeni wake Mtawala wa Ras Al Khaimah Shaikh Saud bin Saqr  Al  Qasimi wakati   alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kabla ya kuondoka nchi akimaliza ziara yake akiwa na ujRais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na mgeni wake Mtawala wa Ras Al Khaimah Shaikh Saud bin Saqr Al Qasimi wakati alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kabla ya kuondoka nchi akimaliza ziara yake akiwa na uj
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Mtawala wa Ras Al Khaimah Sheikh. Saud Bin Saqr Al Qasim, wakati wa hafla ya utiaji wa Saini ya Mkataba wa Mgawano wa Uzalishaji wa Mafuta na Gesi Asilia Zanzibar, hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya Ikulu Zanzibar
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia wakati wa hafla ya sherehe ya Utiaji wa Saini ya Mkataba wa Makubaliano ya Uzalishaji wa Mafuta na Gesi Asilia Zanzibar.iliofanyika katika hafla ya viwanja vya Ikulu Zanzibar
  • MTAWALA wa Ras Al Khaimah Sheikh Saud Bin Saqr Al Qasim akizungumza wakati wahafla ya Utiaji wa Saini ya Mkataba wa Makubaliano ya Uzalishaji wa Mafuta na Gesi Asilia Zanzibar , iliofanyika katika viwanja vya Ikulu Zanzibar.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa na Mtawala wa Ras Al Khaimah Sheikh. Saud Bin Saqr Al Qasim, wakishuhudia hafla ya utiliaji wa Saini Mkataba wa Mgawanyo wa Uzalishaji wa Mafuta na Gesi Asilia (PSA) Wakitia saini Waziri wa Ardhi Maji Mazingira na Maakazi Zanzibar Mhe. Salama Aboud Talib katikati na kulia Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Maendeleo ya Mafuta Zanzibar,Bi. Mwanamkaa Abdulrahman Mohammed,Mkurugenzi Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa RakGas Mr.Kamal Mohammed Ataya, hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya Ikulu Zanzibar.
  • MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi, Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe. Zuberi Ali Maulid na Balozi wa UAE Nchini Tanzania Balozi Mohammed Al Hammad, wakifuatilia hafla hiyo katika viwanja vya Ikulu Zanzibar.
  • KATIBU Mkuu Wizara Ardhi Maji Nishati na Makaazi, akitowa maelezo ya Kitaalum ya Mradi wa Utafutaji wa Mafuta na Gesi Asilia wakati wa hafla ya utiaji wa Saini katika viwanja vya Ikulu Zanzibar.
  • BAADHI ya Viongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania wakifuatilia hafla ya Utiaji wa Saini ya Mkataba wa Mgao wa Uzalishaji wa Mafuta na Gesi Asili baina ya SMZ na Kampuni ya Rakgas ya Ras Al Khaimah.
  • BAADHI ya Viongozi wa Utawala wa Serikali ya Ras Al Khaimah wakifuatilia hafla hiyo ya utiaji wa Saini ya Mkataba wa Makubaliano ya Uzalishaji wa Mafuta na Gesi Asili Zanzibar. hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya Ikulu Zanzibar

Maonyesho ya Utalii Zanzibar Hoteli ya Verde Mtoni.

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Katibu Mtendaji wa Kamisheni ya Utalii Zanzibar Dkt. Abdallah Mohammed Juma, alipowasili katika viwanja vya Hoteli ya Kitalii ya Verde Mtoni Zanzibar, kwa ajili ya ufungaji wa Maonesho ya Kimataifa ya Utalii Zanzibar
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akimsikiliza Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi, wakiwa katika ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Zanzibar wakihudhuria hafla ya ufungaji wa Maonesho ya Kimataifa ya Utalii Zanzibar
  • WAZIRI wa Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar Mhe. Mahmoud Thabit Kombo akizungumza wakati wa hafla ya ufungaji wa Maonesho ya Kimataifa ya Utalii Zanzibar yaliofanyika katika Hoteli ya Verde Mtoni Zanzibar kabla ya kumkaribisha mgeni rasmin Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi kuyafunga maonesho hayo
  • BAADHI ya Washiriki wa Maonesho ya Kimataifa ya Utalii Zanzibar kutoka Sekta ya Utalii wa Ndani ya Zanzibar na kutoka Nje wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akiyafunga maonesho hayo yaliofanyika katika Hoteli ya Kitalii ya Verde Mtoni Zanzibar
  • WASANII wa Kikundi cha Siti Bendi wakitowa burudani katika hafla hiyo ya ufungaji wa Maonesho ya Kimataifa ya Utalii Zanzibar katika ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Zanzibar
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi na Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, wakifuatilia burudani ya Kikundi cha Siti Bendi wakitowa burudani wakati wa hafla hiyo ya ufungaji wa Maonesho ya Kimataifa ya Utalii Zanzibar, katika ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Zanzibar
  • MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akisalimiana na kuagana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi, baada ya kumalizika hafla ya ufungaji wa Maonesho ya Kimataifa ya Utalii Zanzibar yaliofanyika katika Hoteli ya Kitalii Verde Mtoni Zanzibar.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia wakati wa hafla ya ufungaji wa Maonesho ya Kimataifa ya Utalii Zanzibar katika ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Zanzibar.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi,Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein na Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe. Zuberia Ali Maulid wakiwa katika picha ya pamoja na Washindi wa Tunzo za Utalii Zanzibar.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akimkabidhi Tunzo ya Ushindi wa Hoteli Bora (Best Branded Hotel) Meneja Mkuu wa Hoteli ya Kitalii ya Park Hyyat Mr. Nicolas Cherdo, wakati wa ufungaji wa Maonesho ya Kimataifa ya Utalii Zanzibar yaliofanyika katika Hoteli ya Verde Mtoni Zanzibar
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia na kutoa pongeze zake kwa Washiriki wa Maonesho ya Kimataifa ya Utalii Zanzibar, wakati wa hafla ya kuyafunga maonesho hayo yaliofanyika katika Hoteli ya Kitalii ya Verde Mtoni Zanzibar na kuwashirikisha Wadau wa Utalii kutaka Nchini na Nje ya Nchi, ufungaji huo umefanyika katika ukumbi wa hoteli hiyo ya Verde Mtoni

Ufunguzi wa Maonyesho ya Utalii Zanzibar Hoteli ya Verde Mtoni Zanzibar.

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, alipowasili katika viwanja vya Hoteli ya Verde Mtoni Zanzibar kuhudhuria hafla ya Ufunguzi wa Maoonesho ya Utalii Zanzibar
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Balozi Seif Ali Iddi,alipowasili katika viwanja vya Hoteli ya Verde Mtoni Zanzibar, wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Maonesho ya Utalii Zanzibar, katikati Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein, akimsikiliza Afisa Habari na Uhusiano wa Kamisheni ya Utalii Zanzibar Ndg. Amour Mtumwa Ali alipotembelea banda la Maoneshi la Kamisheni ya Utalii wakati wa ufunguzi wa Maonesho ya Utalii Zanzibar yaliofanyika katika viwanja vya Hoteli ya Verde Mtoni Zanzibar.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein, akiwa na Waziri wa Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar Mhe. Mahmoud Thabit Kombo, wakielekea katika mabanda ya maonesho baada ya kuwasili katika viwanja vya Hoteli ya Verde Mtoni Zanzibar.
  • WAZIRI wa Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar Mhe. Mahmoud Thabit Kombo akizungumza wakati wa hafla ya Ufunguzi wa Maoneshi ya Kitalii Zanzibar kabla ya kumkaribisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein, kufungua maonesho hayo yaliofanyika katika viwanja vya Hoteli ya Verde Mtoni Zanzibar.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akimkabidhi Cheti cha Maalum kwa Mchango wake katika Sekta ya Utalii Zanzibar Mfanyabiashara Ndg. Said Salim Bakhressa, wakati wa hafla ya Ufunguzi wa Maonesho ya Utalii Zanzibar yanayofanyika katika viwanja vya Hoteli ya Verde Mtoni Zanzibar.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akimkabidhi Cheti Maalum cha Kuchangia Utalii wa Zanzibar Mfanyabiashara wa Makampuni ya VIGOR Ndg. Salim Tofiq Turky.
  • BAADHI ya waalikwa katika ufunguzi wa Maonesho ya Utalii Zanzibar yaliofanyika katika viwanja vya Hoteli ya Verde Mtoni Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, katika ufunguzi huo
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein, akimsikiliza Mwakilishi wa Kikundi cha JULUKIZA Ndg. Ali Bakari akitowa maelezo ya vitu vya mbalimbali vya Asili wakati akitembelea Maonesho ya Utalii yaliofanyika katika viwanja vya Hoteli ya Verde Mtoni Zanzibar.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akimkabidhi Cheti cha Maalum cha Kuutangaza Utalii wa Zanzibar Nje Ndg Walid Fikirini, wakati wa ufunguzi wa Maonesho ya Utalii Zanzibar katika viwanja vya Hotel Verde Mtoni Zanzibar.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akimsikiliza Afisa Mauzi wa Shirika la Ndege la Ethiopian alipokuwa akitembelea maonesho hayo yaliofanyika katika viwanja vya Hoteli ya Verde Mtoni Zanzibar.
  • BAADHI ya Viongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar,wakifuatilia hutuba ya ufunguzi wa Maonesho ya Utalii Zanzibar,wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akifungua Maonesho hayo katika viwanja vya Hoteli ya Verde Mtoni Zanzibar.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein, akihutubia katika hafla ya ufunguzi wa Maonesho ya Kitalii Zanzibar yaliofanyika katika viwanja vya Hoteli ya Verde Mtoni Zanzibar na kuhudhuriwa na Makampuni mbalimbali ya Kitalii ya nje na ndani ya Zanzibar.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia wakati wa ufunguzi wa Maonesho ya Utalii Zanzibar yanayofanyika katika Hoteli ya Verde Mtoni Zanzibar.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein, akihutubia katika hafla ya ufunguzi wa Maonesho ya Kitalii Zanzibar yaliofanyika katika viwanja vya Hoteli ya Verde Mtoni Zanzibar na kuhudhuriwa na Makampuni mbalimbali ya Kitalii ya nje na ndani ya Zanzibar.