Toggle navigation
Leave this field blank
President's Office and Chairman of Revolutionary Council, Zanzibar
Home
President's Office
Overview
Vision & Mission
President
Past Presidents
Administration
Revolutionary Council
Office of the President
Media
News and Events
Speeches and Statements
Press Releases
Photos
Videos
Videos 2
Publications
Speeches
Action Plans
Publications
Reports
Budgets
Blog
Contact Us
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Balozi wa Marekani Nchini Tanzania Mhe.Donald Wright.
17 Sep 2021
News and Events
206
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Balozi wa Marekani Nchini Tanzania Mhe.Donald Wright alipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo.
Media
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amepokea salamu za pole kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Wasafi Nasibu Abdul Juma almaarufu Diamond Platinumz
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiondoa katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja
Dk. Hussein Ali Mwinyi alisema Sera ya Uchumi wa Buluu ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ina dhamira njema ya kuimarisha uchumi wa nchi
Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema, Serikali anayoiongoza tayari imepita lengo la Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinzi (CCM)
AlhajDk. Hussein Ali Mwinyi ameushukuru uongozi wa Mkoa wa Kusini Unguja kwa uratibu mzuri wa hafla ya futari.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amejumuika na Wananchi wenye mahitaji maalumu kwa makundi mbalimbali Mkoa wa Kusini Unguja katika Futari maalum aliyowa
MKE wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Mama Mariam Mwinyi ameiasa jamii kujitahidi kukithirisha ibada ndani ya mwezi huu Mtukufu wa Ramadhan na kutoa sadaka kwa wingi
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na kuagana na Mlezi wa Jumuiya ya Zawiyatul Qadiriya Tanzania Sheikh.Said Othman.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Al hajj Dk. Hussein Ali Mwinyi ametoa shukurani zake za dhati kwa Jumuiya ya Zawiyyatul Qadiria - Tanzania
Rais wa zanzibar na MBLM Dk.Hussein Ali Mwinyi amevipongeza Vikosi vya JKU, Chuo cha Mafunzo na Zimamoto.
Leave this field blank
Subscribe to RSS Feeds
Get all latest content delivered to your email a few times a month.
English
Swahili