State House Blog

Uzinduzi wa Kitabu cha Asian Aspiration Book.

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akifuatana na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Mhe.Idrissa Kitwana Mustafa wakati alipowasili katika Hoteli ya Verde Mtoni Mjini Magharibi leo kuzindua kitabu cha "Asian Aspiration Book" cha Rais Mstaafu wa Nigeria Mhe. Olusegun Obasanjo na Waziri Mkuu Mstaafu wa Ethiopia Mhe.Hailemarium Desalegn.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akionesha kitabu cha "Asian Aspiration Book" cha Rais Mstaafu wa Nigeria Mhe. Olusegun Obasanjo (kushoto) na Waziri Mkuu Mstaafu wa Ethiopia Mhe.Hailemarium Desalegn (kulia) mara baada ya kukizindua leo katika Ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Mkoa wa Mjini Magharibi
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akionesha kitabu cha "Asian Aspiration Book" cha Rais Mstaafu wa Nigeria Mhe. Olusegun Obasanjo (kushoto) na Waziri Mkuu Mstaafu wa Ethiopia Mhe.Hailemarium Desalegn (hayupo pichani) mara baada ya kukizindua leo katika Ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Mkoa wa Mjini Magharibi.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akionesha kitabu cha "Asian Aspiration Book" cha Rais Mstaafu wa Nigeria Mhe.Olusegun Obasanjo na Waziri Mkuu Mstaafu wa Ethiopia Mhe. Hailemarium Desalegn mara baada ya kukizindua leo katika Ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Mkoa wa Mjini Magharibi.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) Rais Mstaafu wa Nigeria Mhe.Olusegun Obasanjo (kushoto) na Waziri Mkuu Mstaafu wa Ethiopia Mhe.Hailemarium Desalegn wakiwa wamesimama wakati wa kupigwa wimbo wa Taifa kabla ya Uzinduzi wa kitabu cha "Asian Aspiration Book" uliofanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Mkoa wa Mjini Magharibi
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akionesha kitabu cha "Asian Aspiration Book" cha Rais Mstaafu wa Nigeria Mhe.Olusegun Obasanjo (kushoto) na Waziri Mkuu Mstaafu wa Ethiopia Mhe.Hailemarium Desalegn (hayupo pichani) mara baada ya kukizindua leo katika Ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Mkoa wa Mjini Magharibi
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akionesha kitabu cha "Asian Aspiration Book" cha Rais Mstaafu wa Nigeria Mhe.Olusegun Obasanjo na Waziri Mkuu Mstaafu wa Ethiopia Mhe.Hailemarium Desalegn mara baada ya kukizindua leo katika Ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Mkoa wa Mjini Magharibi.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akionesha kitabu cha "Asian Aspiration Book" cha Rais Mstaafu wa Nigeria Mhe.Olusegun Obasanjo (kushoto) na Waziri Mkuu Mstaafu wa Ethiopia Mhe.Hailemarium Desalegn (kulia) mara baada ya kukizindua leo katika Ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Mkoa wa Mjini Magharibi
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto) alipokuwa akitoa Hutuba yake katika Ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Mkoa wa Mjini Magharibi wakati wa uzinduzi wa kitabu cha "Asian Aspiration Book" cha Rais Mstaafu wa Nigeria Mhe.Olusegun Obasanjo (kulia) na Waziri Mkuu Mstaafu wa Ethiopia Mhe.Hailemarium Desalegn(hayupo pichani) uliofanyika leo katika Ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Mkoa wa Mjini Magharibi (katikati) Katibu wa Baraza la Mapinduzi pia Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi alipokuwa akitoa Hutuba yake katika Ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Mkoa wa Mjini Magharibi wakati wa uzinduzi wa kitabu cha "Asian Aspiration Book" cha Rais Mstaafu wa Nigeria Mhe.Olusegun Obasanjo na Waziri Mkuu Mstaafu wa Ethiopia Mhe.Hailemarium Desalegn, uliofanyika leo katika Ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Mkoa wa Mjini Magharibi
  • Rais Mstaafu wa Nigeria Mhe.Olusegun Obasanjo alipokuwa akitoa Hutuba yake katika Ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Mkoa wa Mjini Magharibi wakati wa uzinduzi wa kitabu cha "Asian Aspiration Book" cha Rais Mstaafu wa Nigeria Mhe.Olusegun Obasanjo na Waziri Mkuu Mstaafu wa Ethiopia Mhe.Hailemarium Desalegn uliofanyika leo katika Ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Mkoa wa Mjini Magharibi
  • Baadhi ya Washiriki na Waalikwa katika hafla ya Ufunguzi wa kitabu cha "Asian Aspiration Book" cha Rais Mstaafu wa Nigeria Mhe.Olusegun Obasanjo na Waziri Mkuu Mstaafu wa Ethiopia Mhe.Hailemarium Desalegn kilichozinduliwa` leo na RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) katika Ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Mkoa wa Mjini Magharibi.
  • Baadhi ya Washiriki na Waalikwa katika hafla ya Ufunguzi wa kitabu cha "Asian Aspiration Book"cha Rais Mstaafu wa Nigeria Mhe.Olusegun Obasanjo na Waziri Mkuu Mstaafu wa Ethiopia Mhe.Hailemarium Desalegn kilichozinduliwa` leo na RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) katika Ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Mkoa wa Mjini Magharibi.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto) alipokuwa akitoa Hutuba yake katika Ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Mkoa wa Mjini Magharibi wakati wa uzinduzi wa kitabu cha "Asian Aspiration Book" cha Rais Mstaafu wa Nigeria Mhe.Olusegun Obasanjo (kulia) na Waziri Mkuu Mstaafu wa Ethiopia Mhe.Hailemarium Desalegn (hayupo pichani) uliofanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Mkoa wa Mjini Magharibi (katikati) Katibu wa Baraza la Mapinduzi pia Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi alipokuwa akitoa Hutuba yake katika Ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Mkoa wa Mjini Magharibi wakati wa uzinduzi wa kitabu cha "Asian Aspiration Book" cha Rais Mstaafu wa Nigeria Mhe.Olusegun Obasanjo na Waziri Mkuu Mstaafu wa Ethiopia Mhe.Hailemarium Desalegn, uliofanyika leo katika Ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Mkoa wa Mjini Magharibi.
  • Baadhi ya Washiriki na Waalikwa katika Ufunguzi wa kitabu cha "Asian Aspiration Book" cha Rais Mstaafu wa Nigeria Mhe. Olusegun Obasanjo na Waziri Mkuu Mstaafu wa Ethiopia Mhe.Hailemarium Desalegn kilichozinduliwa`leo na RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) katika Ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Mkoa wa Mjini Magharibi.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) alipokuwa akiagana na Rais Mstaafu wa Nigeria Mhe.Olusegun Obasanjo mara baada ya kumalizika kwa hafla ya uzinduzi wa kitabu cha "Asian Aspiration Book" cha Rais Mstaafu wa Nigeria Mhe.Olusegun Obasanjo (kushoto) na Waziri Mkuu Mstaafu wa Ethiopia Mhe.Hailemarium Desalegn (hayupo pichani) uliofanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Mkoa wa Mjini Magharibi