Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM (Zanzibar) Rais Mstaafu wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein pamoja na Rais wa Zanzibar Dk. Hussein Ali Mwinyi na W
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM ambae pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akipiga makofi wakati wakiimba Wimbo wa Chama cha Mapinduzi pamoja na Wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM muda mfupi kabla ya kuanza kuongoza
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM ambae pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akipiga makofi wakati wakiimba Wimbo wa Chama cha Mapinduzi pamoja na Wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM muda mfupi kabla ya kuanza kuongoza
MWENYEKITI wa Chama cha Mapinduzi ambae pia ni Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.John Pombe Magufuli akisalimiana na Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar Rais Mstaaf wa Zanzibar Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, alipowasili katika ukumbi
WAJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM wakisoma makabrasha kabla ya kuaza kwa Kikao hicho kilichoongozwa na Mwenyekiti wa CCM ambae pia ni Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli (hayupo pichani)
WAJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM kulia Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi na Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Kassim Majaliwa, wakiwa katika ukumbi wa Kikao cha Kamati Kuu wakipitia makabra
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar Rais Mstaaf wa Zanzibar Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa na (kulia kwa Dk Shein) Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa am
DK HUSSEIN ALI MWINYI AZUNGUMZA NA UJUMBE WA DAWOODI BOHRA JAMAAT TANZANIA
23 Nov 2020
357
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Mwenyekiti wa Dawoodi Bohra Jamaat Dar es Salaam Sheikh.Tayabali Hamza Bhai Patanwalla, alipofika Ikulu Jijini Zanzibar na Ujumbe wake kwa mazungumzo na kumpongeza,hafla hiyo imefanyika leo 23/11/2020 na kulia Ndg.Murtaza Ali Bhai
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Ujumbe wa Jumuiya ya Dawoodi Bohra Jamaat.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Ujumbe wa Jumuiya ya Dawoodi Bohra Jamaat, walipofika Ikulu Jijini Zanzibar leo 23/11/2020 kwa mazungumzo na kumpongeza,(kushoto kwa Rais) Ndg. Javed Jafferji ,Sheikh.Habibulla N.Jivajee na Sheikh. Muffadal Imad..(
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa hati ya kumpongeza na Viongozi wa Bohra Tanzania, walipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo na kumpongeza (kulia kwa Rais) Mwenyekiti wa Dawoodi Bohra Jamaat Dar es Salaam Sheikh. Tayabali Hamza Bhai Patanwalla akiwa na Mwakilishi wa Dawoodi Bohra Jamaat Zanzibar Sheikh.Muffadal Imadi,hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.23/11/2020
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Ujumbe wa Jumuiya ya Dawoodi Bohra Jamaat, ukiongozwa na Mwenyekiti wa Dawoodi Bohra Jamaat Dar es Salaam Sheikh Tayabali Hamza Bhai Patanwalla (kulia kwa Rais) na Ndg.Murtza Ali Bhai na Ndg. Nuruddin Bhai Katibu wa Jumuiya hiyo Zanzibar walipofika Ikulu Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi na (kulia kwa Rais) Mwenyekiti wa Dawoodi Bohra Jamaat Dar es Dalaam Sheikh Tayabali Hamza Bhai Patanwalla wakimsikiliza Ndg.Murtaza Ali Bhai akiwasilisha taarifa ya kumpongeza wakati walipofika IKulu Jijini Zanzibar, kwa mazungumzo yao yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar 23/11/2020
Rais Dk.Hussein Mwinyi amewaapisha Mawaziri aliowateua Ikulu Zanzibar.
21 Nov 2020
376
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Mhe.Haroun Ali Suleiman kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Katiba Sheria, Utumishi wa Umma na Utawala Bora katika hafla iliyofanyika leo viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar, kufuatia uteuzi wake baada ya uchaguzi mkuu uliofanyika mwezi Octoba mwaka huu
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Mhe.Haroun Ali Suleiman kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi wa Umma na Utawala Bora.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Mhe. Tabia Mwita Maulid kuwa Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo katika hafla iliyofanyika leo viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar,kufuatia uteuzi wake baada ya uchaguzi mkuu uliofanyika mwezi Octoba mwaka huu
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Mhe.Lela Mohamed Mussa kuwa Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale katika hafla iliyofanyika leo viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar,kufuatia uteuzi wake baada ya uchaguzi mkuu uliofanyika mwezi Octoba mwaka huu
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Mhe.Rahma Kassim Ali kuwa Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi katika hafla iliyofanyika leo viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar,kufuatia uteuzi wake baada ya uchaguzi mkuu uliofanyika mwezi Octoba mwaka huu
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Mhe.Abdalla Hussein Kombo kuwa Waziri wa Uchumi wa Buluu na Uvuvi katika hafla iliyofanyika leo viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar,kufuatia uteuzi wake baada ya uchaguzi mkuu uliofanyika mwezi Octoba mwaka huu
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Mhe.Dk.Soud Nahoda Hassan kuwa Waziri wa Kilimo,Umwagiliaj,Maliasili na Mifugo katika hafla iliyofanyika leo viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar,kufuatia uteuzi wake baada ya uchaguzi mkuu uliofanyika mwezi octoba mwaka huu
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Mhe.Simai Mohamed Said kuwa Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali katika hafla iliyofanyika leo viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar,kufuatia uteuzi wake baada ya uchaguzi mkuu uliofanyika mwezi Octoba mwaka huu
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Mhe.Mudrik Ramadhan Soraga kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais,Uchumi na uwekezaji katika hafla iliyofanyika leo viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar,kufuatia uteuzi wake baada ya uchaguzi mkuu uliofanyika mwezi Octoba mwaka huu
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Mhe.Riziki Pembe Juma kuwa Waziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makaazi katika hafla iliyofanyika leo viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar,kufuatia uteuzi wake baada ya uchaguzi mkuu uliofanyika mwezi Octoba mwaka huu
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Mhe.Masoud Ali Mohamed kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Idara maalum za SMZ katika hafla iliyofanyika leo viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar,kufuatia uteuzi wake baada ya uchaguzi mkuu uliofanyika mwezi Octoba mwaka huu
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Mhe.Dk.Khalid Salum Mohamed kuwa Waziri Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais,Sera,Uratibu na Baraza la Wawakilishi katika hafla iliyofanyika leo viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar,kufuatia uteuzi wake baada ya uchaguzi mkuu uliofanyika mwezi Octoba mwaka huu
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Mhe.Jamal Kassim Ali kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais,Fedha na Mipango katika hafla iliyofanyika leo viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar,kufuatia uteuzi wake baada ya uchaguzi mkuu uliofanyika mwezi Octoba mwaka huu
Baadhi ya Viongozi walioalikwa katika Hafla ya kuapishwa kwa Baraza la Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Awamu ya nane lililoapishwa leo na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Mhe.Mudrik Ramadhan Soraga kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais,Uchumi na uwekezaji.
Baadhi ya Viongozi katika Idara mbali mbali za Serikali waliohudhuria katika hafla ya kuapishwa kwa Mawaziri wa Baraza la Mapinduzi Awamu ya Nane katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar leo na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani).[
Viongozi Wakuu wa Vikosi vya Ulinzi wakiwa katika hafla ya kuapishwa kwa Mawaziri wa Baraza la Mapinduzi Awamu ya Nane katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar
RAIS DK.HUSSEIN ALI MWINYI AMETANGAZA MAWAZIRI KATIKA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR.
19 Nov 2020
276
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi alipokuwa akitangaza majina ya mawaziri katika Wizara mbali mbali za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi alipokuwa akitangaza majina ya mawaziri katika Wizara mbali mbali za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.
Waandishi wa habari wa vyombo mbali mbali Serikali na Binafsi wakiwa katika ukumbi wa mikutano Ikulu Jijini Zanzibar wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi alipokuwa akitangaza majina ya mawaziri katika Wiza
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi alipokuwa akitangaza majina ya mawaziri katika Wizara mbali mbali za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi alipokuwa akitangaza majina ya mawaziri katika Wizara mbali mbali za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.
Viongozi Wakuu wa Vikosi vya Ulinzi Zanzibar ni Miongoni mwa Viongozi waliohudhuria katika hafla ya kutangazwa majina ya Mawaziri katika Wizara mbali mbali katika Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Baadhi ya Viongozi waliohudhuria katika hafla ya kutangazwa majina ya Mawaziri katika Wizara mbali mbali katika Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Dk.Hussein Ali Mwinyi amewatembelea Wafanya Biashara wa Kijangwani Zanzibar
18 Nov 2020
277
Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Mhe.Hassan Khatibu Hassan (katikati) alipokuwa akitoa maelezo mbele ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi kuhusu Mradi wa katika Eneo la Soko la Kijangwani Wilaya ya Mjini kabla Rais, kuzungumza na Wajasiriamali wadogo wadogo katika Soko hilo leo akiwa katika ziara ya Kikazi kujuwa Changamoto mbali mbali zinazowakabili Wafanyabiashara hao
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Mhe.Hassan Khatib Hassan wakati alipowasili katika Soko la Wajasiriamali wadogo wadogo Kijangwani Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi leo Changamoto mbali mbali zinazowakabili
Baadhi ya Wafanyabiashara ndogo ndogo wakimsiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) wakati alipozungumza nao na kuwataka kuwana subira wafanyiwe maamuzi sahihi ya kupatiwa Eneo jengine la kufanyika Biashara zao kwa uhakika,aliyasema hayo leo katika soko la Kijangwani Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwapungia mkono Wafanyabiashara Ndogo Ndogo katika Soko la Kijangwani Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi leo alipofanya ziara ya Kikazi kujuwa changamoto mbali mbali kwa Wafanaybishara hao
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Mhe.Hassan Khatib Hassan wakati alipowasili katika Soko la Wajasiriamali wadogo wadogo Kijangwani Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi leo Changamoto mbali mbali zinazowakabili
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akisisitiza jambo wakati alipokuwa akizungumza na Wajasiriamali wadogo wadogo katika Soko la Kijangwani Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi leo alipofanya ziara ya kujuwa Changamoto mbali mbali zinazowakabili wafanyabiashara hao