State House Blog

Rais wa Zanzibar ambae ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amepiga kura Shina namba moja Tawi la Kilimani Unguja.

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akipiga kura yake katika Shina namba moja Tawi Chama Cha Mapinduzi Kilimani Shehia ya Kilimani Unguja kumchagua Mwenyekiti wa Shina na Wajumbe, uchaguzi huo uliofanyika katika Tawi hilo Migombani 22-4-2022.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Wananchama wa Shina namba moja Tawi la CCM Kilimani Unguja, baada ya kumaliza kupiga kura yake kumchangua Mwenyekiti na Wajumbe wa Shina namba moja Tawi la CCM Kilimani Unguja uliofanyika 22-4-2022.na (kulia kwa Rais) Mbunge wa Jimbo la Mpendae Zanzibar Mhe Toffiq Salim Turky.

Mke wa Rais Wa Zanzibar ambae ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Mama Mariam Mwinyi ametoa Sadaka ya Futari kwa Wazee,Wajane na wenye hali ngumu Tumbatu.

  • MKE wa Rais wa Zanzibar ambae ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Mama Mariam Mwinyi akisalimiana na kuagana na Wazee wa Tumbatu baada ya kumalizika kwa hafla ya kutoa Sadaka ya Futari kwa Wajane Wazee na Wenye Hali Ngumu katika Kisiwa cha Tumbatu Mkoa wa Kaskazini Unguja leo 21-4-2022.
  • MKE wa Rais wa Zanzibar ambae ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora. Mama Mariam Mwinyi akimabidhi mmoja wa Wazee wa Tumbatu Sadaka ya Futari Bi.Tabu Kheri Haji ikiwa ni moja ya vyakula alivyokabidhiwa kwa Wajane Wazee na Wenye hali ngumu, hafla hiyo iliyofanyika katika Kijiji cha Jongowe Tumbatu Unguja leo 21-4-2022.
  • WAZEE wa Tumbatu wakimsikiliza Mke wa Rais wa Zanzibar ambae ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Mama Mariam Mwinyi.(hayupo pichani) wakati wa hafla ya kutoa Sadaka ya Futari kwa Wajane Wazee na Wenye hali Ngumu iliyofanyika katika Kijiji cha Jongowe Tumbatu Mkoa wa Kaskazini Unguja leo 21-4-2022.
  • MKE wa Rais wa Zanzibar ambae ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Mama Mariam Mwinyi akiitikia ikisomwa na Sheikh.Makame Said Khamis.(hayupo pichani) baada ya kumalizika kwa hafla ya kutoa Sadaka ya Futari kwa Wajane Wazee na Wenye Hali Ngumu katika Kisiwa cha Tumbatu, iliyofanyika katika Kijiji cha Jongowe na (kulia kwake) Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe.Ayoub Mohammed Mahmoud na (kushoto kwake) Sheha wa Shehia ya Jongowe Bi. Miza Ali Sharif.
  • MKE wa Rais wa Zanzibar ambae ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Mama Mariam Mwinyi akielekea katika eneo lililoandaliwa kwa ajili ya kutoa Sadaka ya Futari kwa Wajane Wazee na Wenye hali ngumu katika Kisiwa cha Tumbatu na (kulia kwake) Sheha wa Shehia ya Jongowe Bi.Miza Ali Sharif na (kushoto kwake) Mkurugenzi wa Jumuiya ya Wajane Zanzibar Bi.Tabia Makame.
  • MKE wa Rais wa Zanzibar ambae ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Mama Mariam Mwinyi akisalimiana na Sheha wa Shehia ya Tumbatu Jongowe Bi.Miza Ali Sharif, alipowasili katika Kisiwa cha Tumbatu kwa ajili ya hafla ya kutoa Sadaka ya Futari kwa Wajane Wazee na Wenye hali ngumu, hafla hiyo imefanyika katika Kijiji cha Jongowe Tumbatu.
  • MKE wa Rais wa Zanzibar ambae ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Mama Mariam Mwinyi akisalimiana na Viongozi wa Mkoa wa Kusini Wilaya ya Kati Unguja baada ya kuwasili katika viwanja vya Skuli ya Msingi Uzi,kwa ajili ya kutoa Sadaka ya Futari kwa Wazee kuazia umri wa miaka 70 wa Shehia mbili za Uzi na Ngambwa na (kushoto kwake) Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe Rashid Hadidi.
  • MKE wa Rais wa Zanzibar ambae ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Mama Mariam Mwinyi akizungumza na kutowa nasaha zake kwa Wananchi wa Uzi, wakati wa hafla ya kutoa Sadaka ya Futari kwa Wazee wa umri wa miaka 70, hafla hiyo iliyofanyika katika Skuli ya Msingi Uzi na (kushoto kwake) Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe.Rashid Hadidi.
  • MKE wa Rais wa Zanzibar ambae ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Mama Mariam Mwinyi akimkabidhi mmoja wa Wazee wa Kijiji cha Uzi Sadaka ya Futari, aliyokabidhi kwa Wazee wa Shehia mbili za Uzi na Ngambwa , hafla hiyo iliyofanyika katika Skuli ya Msingi Uzi Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja.
  • MKE wa Rais wa Zanzibar ambae ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Mama Mariam Mwinyi akimkabidhi Misahafu Sheikh Ali Othman kwa ajili ya Madrasa na Misikiti ya Shehia ya Uzi na Ngambwa, hafla hiyo iliyofanyika katika Skuli ya Msingi Uzi.

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na kuzungumza na msaidizi wa Waziri Mkuu katika masuala ya Biashara Bw. Lord Wanley Ikulu Zanzibar.

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na mgeni wake (kulia kwa Rais) Msaidizi wa Waziri Mkuu wa Uingereza katika Masuala ya Biashara Bw.Lord Wanley akiwa na Balozi wa Uingereza Nchini Tanzania Mhe David Concar,alipofika Ikulu Jijini Zanzibar na Ujumbe wake kwa mazungumzo yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu leo 20-4-2022.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Msaidizi wa Waziri Mkuu wa Uingereza katika Masuala ya Biashara Bw.Lord Wanley, alipofika Ikulu Jijini Zanzibar na Ujumbe wake kwa mazungumzo yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu leo 20-4-2022.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Balozi wa Uingereza Nchini Tanzania Mhe.David Concar na (kulia kwa Rais) Msaidizi wa Waziri Mkuu wa Uingereza katika Masuala ya Biashara.Bw.Lord Wanley, walipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu leo 20-4-2022.

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na kuzungumza na kikosi kazi cha Rais Samia Ikulu Zanzibar.

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Wajumbe wa Kikosi Kazi cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan cha Kuratibu Maoni ya Wadau wa Demokrasia ya Vyama Vingi vya Siasa Tanzania, walipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu leo 20-4-2022.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Wajumbe wa Kikosi Kazi cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan cha Kuratibu Maoni ya Wadau wa Demokrasia ya Vyama Vingi vya Siasa Tanzania, walipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu leo 20-4-2022.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Wajumbe wa Kikosi Kazi cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan cha Kuratibu Maoni ya Wadau wa Demokrasia ya Vyama Vingi vya Siasa Tanzania, walipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu leo 20-4-2022.
  • WAJUMBE wa Kikosi Kazi cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan cha Kuratibu Maoni ya Wadau wa Demokrasia ya Vyama Vingi vya Siasa Tanzania, wakipiga makofi wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akizungumza na Wajumbe hao katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 20-4-2022.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Wajumbe wa Kikosi Kazi cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan cha Kuratibu Maoni ya Wadau wa Demokrasia ya Vyama Vingi vya Siasa Tanzania, walipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu leo 20-4-2022
  • WAJUMBE wa Kikosi Kazi cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan cha Kuratibu Maoni ya Wadau wa Demokrasia ya Vyama Vingi vya Siasa Tanzania kikiongozwa na Mwenyekiti wake Professa Rwekaza Mukandala.(hayupo pichani) wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akizungumza na Wajumbe wa Kikosi Kazi walipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu.
  • WAJUMBE wa Kikosi Kazi cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan cha Kuratibu Maoni ya Wadau wa Demokrasia ya Vyama Vingi vya Siasa Tanzania kikiongozwa na Mwenyekiti wake Professa Rwekaza Mukandala.(hayupo pichani) wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akizungumza na Wajumbe wa Kikosi Kazi walipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu.
  • WAJUMBE wa Kikosi Kazi cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan cha Kuratibu Maoni ya Wadau wa Demokrasia ya Vyama Vingi vya Siasa Tanzania, wakipiga makofi wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akizungumza na Wajumbe hao katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 20-4-2022.
  • MWENYEKITI wa Kikosi Kazi cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan cha Kuratibu Maoni ya Wadau wa Demokrasia ya Vyama Vingi vya Siasa Tanzania Profesa Rwekaza Mukandala akizungumza na kutowa maelezo wakati wa mazungumzo yao na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 20-4-2022.
  • WAJUMBE wa Kikosi Kazi cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan cha Kuratibu Maoni ya Wadau wa Demokrasia ya Vyama Vingi vya Siasa Tanzania kikiongozwa na Mwenyekiti wake Professa Rwekaza Mukandala.(hayupo pichani) wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akizungumza na Wajumbe wa Kikosi Kazi walipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu.

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amelifungua Kongamano la Pili la Madaktari na wahudumu wa Afya lililofanyika leo ukumbi wa chuo cha Utalii Maruhubi Zanzibar.

  • PROFESA Mussa Assad akizungumza na kutoa Mada kuhusiana na Dhima ya Kutoa Huduma Kwa Jamii , wakati wa ufunguzi wa Kongamano la Pili la Madaktari na Wahudumu wa Afya, lililfanyika katika ukumbi wa Chuo cha Utalii Maruhubi Zanzibar lililofunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi leo 16-4-2022.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kulifungua Kongamano la Pili la Madaktari na Wahudumu wa Afya lililofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Utalii Maruhubi Unguja Jijini Zanzibar, lililoandaliwa na Taasisi ya Jamiyyatul Akhlaqul Islaamia (JAI) na kuwashirikisha Madaktari. Wauguzi,watoa huduma ya Afya na Masheikh.
  • WAZIRI wa Afya Zanzibar Mhe. Nassor Ahmed Mazrui akizungumza kabla ya kumkaribisha mgeni rasmin Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, kulifungua Kongamano la Pili la Madaktari na Wahudumu wa Afya, lililoandaliwa na Taasisi ya Jamiyyatul Akhlaqul Islaamia (JAI) lililofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Utalii Maruhubi Unguja Jijini Zanzibar leo 16-2022.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kulifungua Kongamano la Pili la Madaktari na Wahudumu wa Afya lililofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Utalii Maruhubi Unguja Jijini Zanzibar, lililoandaliwa na Taasisi ya Jamiyyatul Akhlaqul Islaamia (JAI) na kuwashirikisha Madaktari. Wauguzi,watoa huduma ya Afya na Masheikh.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kulifungua Kongamano la Pili la Madaktari na Wahudumu wa Afya lililofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Utalii Maruhubi Unguja Jijini Zanzibar, lililoandaliwa na Taasisi ya Jamiyyatul Akhlaqul Islaamia (JAI) na kuwashirikisha Madaktari. Wauguzi,watoa huduma ya Afya na Masheikh.