State House Blog

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi amewaongoza Wananchi wa Zanzibar kuuagamwili wa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli uwanja wa Amaa Zanzibar.

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akitowa heshima za mwisho kwa mwili wa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli aliyekuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, wakati wa hafla ya kumuaga marehemu katika Uwanja wa Amaan jijini Zanzibar.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akitowa heshima za mwisho kwa mwili wa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli aliyekuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, wakati wa hafla ya kumuaga marehemu katika Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar.
  • Gari Maalum la JWTZ ilioandaliwa kwa ajili ya kuchukua mwili wa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli aliyekuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania likipita katika baranara ya Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar, wakati wa kuwasili likitokea Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar, kwa ajili ya kutowa heshima za mwisho kwa Wananchi wa Zanzibar.
  • Gari Maalum la JWTZ ilioandaliwa kwa ajili ya kuchukua mwili wa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli aliyekuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania likipita katika baranara ya Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar, wakati wa kuwasili likitokea Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar, kwa ajili ya kuagwa.
  • MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akitowa heshima za mwisho kwa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli aliyekuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, hafla hiyo ya kumuaga imefanyika katika Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar.
  • Gari Maalum la JWTZ ilioandaliwa kwa ajili ya kuchukua mwili wa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli aliyekuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania likipita katika baranara ya Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar, wakati wa kuwasili likitokea Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar, kwa ajili ya
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwahutubia Wananchi wa Zanzibar katika hafla ya kuuaga mwili wa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli aliyekuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, hafla hiyo imefanyika katika Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwa amesimama wakati wa kuwasili kwa mwili wa Hayati John Pombe Magufuli aliyekuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, ulipowasili katika Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar kwa ajili ya kuangwa na Wananchi wa Zanzibar, (kulia kwa Rais) Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa, Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi na Mke wa Waziri Mkuu Mama Mary Majaliwa na (kushoto kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla.
  • MAKAMANDA wa Jeshi la Wananchi Tanzania JWTZ wakiwa wamebeba jeneza lililokuwa na mwili wa hayati John Pombe Magufuli lilipowasili katika Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar kwa ajili ya kutowa heshima za mwisho kwa Wananchi wa Zanzibar
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwa amesimama wakati wa kuwasili kwa mwili wa Hayati John Pombe Magufuli aliyekuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, ilipowasili Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar kwa ajili ya kuangwa na Wananchi wa Zanzibar, (kulia kwa Rais) Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa, Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi na Mke wa Waziri Mkuu Mama Mary Majaliwa na (kushoto kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla.
  • Maalum ya JWTZ ilioandaliwa kwa akili ya kuchukua mwili wa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli aliyekuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ikipita katika baranara ya Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar, wakati wa kuwasili ikitokea Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar, kwa ajili ya kutowa heshima za mwisho kwa Wananchi wa Zanzibar.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la MapinduziMhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwa amesimama wakati wa kuwasili kwa mwili wa Hayati John Pombe Magufuli aliyekuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania,ilipowasili Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar kwa ajili ya kuangwa na Wananchi wa Zanzibar, (kulia kwa Rais) Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa, Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi na Mke wa Waziri Mkuu Mama Mary Majaliwa na (kushoto kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla.
  • GARI Maalum ya JWTZ ilioandaliwa kwa akili ya kuchukua mwili wa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli aliyekuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ikipita katika baranara ya Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar, wakati wa kuwasili ikitokea Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar, kwa ajili ya kutowa heshima za mwisho kwa Wananchi wa Zanzibar.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwa amesimama wakati wa kuwasili kwa mwili wa Hayati John Pombe Magufuli aliyekuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, ilipowasili Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar kwa ajili ya kuangwa na Wananchi wa Zanzibar, (kulia kwa Rais) Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa, Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi na Mke wa Waziri Mkuu Mama Mary Majaliwa na (kushoto kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akitowa heshima za mwisho kwa mwili wa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli aliyekuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, wakati wa hafla ya kumuaga marehemu katika Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar.
  • MAKAMANDA wa Jeshi la Wananchi Tanzania JWTZ wakiwa wamebeba jeneza likiwa na mwili wa hayati John Pombe Magufuli walipowasili Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar kwa ajili ya kutowa heshima za mwisho kwa Wananchi wa Zanzibar.
  • WANANCHI wa Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia wakati wa hafla ya kuuaga mwili wa Hayati Dkt.John Pombe Magufuli, aliyekuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, hafla hiyo imefanyika katika Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar
  • ASKARI wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama wakipiga saluti wakati ukipigwa wimbo wa Taifa katika hafla ya kumuaga Hayati Dkt. John Pombe Magufuli katika Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar
  • WANANCHI wa Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia wakati wa hafla ya kuuaga mwili wa Hayati Dkt.John Pombe Magufuli, aliyekuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, hafla hiyo imefanyika katika Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar.
  • WAZIRI Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya mazishi Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza kabla ya kumkaribisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk.Hussein Ali Mwinyi kuzungumza na Wananchi katika hafla ya kuuaga mwili wa Hayati Dkt.Jon Pombe Magufuli katika uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwahutubia Wananchi wa Zanzibar katika hafla ya kuuaga mwili wa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli aliyekuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania , hafla hiyo imefanyika katika Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar
  • WANANCHI wa Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi(hayupo pichani) akihutubia wakati wa hafla ya kuuaga mwili wa Hayati Dkt.John Pombe Magufuli, aliyekuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, hafla hiyo imefanyika katika Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar.