Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amezungumza na Waziri Wa Nchi Ofisi Ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Tanzania.
11 May 2021
282
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Mohamed Omary Mchengerwa (MB) (kulia kwa Rais) alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa
mazungumzo akiwa na Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya
Utumishi wa Umma na Utawala Bora.Mhe. Deogratius Ndejembi.(MB) na Maofisa wa Wizara hiyo (hawapo pichani)mazungumzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Ujumbe wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora(MB)Mhe. Mohamed Omary Mchengerwa
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Mohamed Omary Mchengerwa (MB) (kulia kwa Rais) alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa
mazungumzo akiwa na Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya
Utumishi wa Umma na Utawala Bora.Mhe.Deogratiu Ndejembi.(MB) na Maofisa wa Wizara hiyo (hawapo pichani) mazungumzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Ujumbe wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, ukiongozwa na Waziri wa wizara hiyo (MB) Mhe. Mohamed Omary Mchengerwa (kulia kwa Rais) na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba Sheria Utumishi wa Umma na Utawala Bora Zanzibar Mhe.Haroun Ali Suleiman, mazungumzo hayo
yamefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
MKURUGENZI Mkuu wa TASAF.Ndg.Ladislaus Mwamanga akitowa maelezo
ya mafanikio ya Mradi wa Tasaf,kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi(hayupo pichani) wakati walipofika Ikulu Jijini Zanzibar Ujumbe wao ukiongozwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.Mohamed Omary Mchengerwa, mazungumzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Mohamed Omary Mchengerwa (MB) (kulia kwa Rais) alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa
mazungumzo akiwa na Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya
Utumishi wa Umma na Utawala Bora.Mhe.Deogratiu Ndejembi.(MB) na Maofisa wa Wizara hiyo(hawapo pichani) mazungumzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar.
MKURUGENZI wa Mkuu wa Mkurubata Dkt.Seraphia Mgembe akizungumza
wakati wa mkutano wao na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) walipofika Ikulu
Jijini Zanzibar kwa mazungumzo wakiongozwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Mohamed Omary Mchegerwa na Maofisa wengi wa Wizara hiyo uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu.