State House Blog

Rais wa Zanzibar Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi ametowa Mkono wa Eid Fitry kwa Wananchi katika viwanja vya Ikulu Zanzibar.

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi, baada ya kumaliza mazungumzo na Masheikh wa Zanzibar walipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa kumsalimia leo 3-5-2022, baada ya kumaliza kwa Sala ya Eid Fitry iliyofanyika Masjid Jamiu Zinjibar Mazizini Unguja Jijini Zanzibar.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba,Sheria, Utumishi na Utawala Bora Zanzibar Mhe.Haroun Ali Suleiman, baada ya kumaliza mazungumzo yake na Masheikh wa Zanzibar Ikulu Zanzibar.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akitowa mkono wa Eid Fitry kwa Watoto waliofika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar kwa ajili ya kupokea Mkono wa Eid Fitry, baada ya kumalizika kwa mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Masheikh wa Zanzibar, baada ya kumaliza Sala ya Eid Fitry iliyofanyika katika Masjid Jamiu Zinjibar Mazizini Unguja, mazungumzo hayo yaliofanyika Ikulu Jijini Zanzibar, walipofika kumsalimia leo 3-5-2022.