State House Blog

Rais wa Zanzibar Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na Uongozi wa ZSSF

  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi(katikati)akisisitiza jambo wakati alipokuwa na mazungumzo na Uongozi wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar ZSSF alipokutanana nao leo katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi(katikati)alipokuwaakizungumza na Uongozi wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar ZSSF alipokutanana nao leo katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
  • Katibu wa Baraza la Mapinduzi pia Katibu Mkuu Kiongozi Injinia Zena Ahmed said (kushoto) alipokuwa akifafanua jambo wakati wa kikao cha Uongozi wa Mfuko ya Hifadhi ya Jamii Zanzibar ZSSF chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Mikutano Ikulu Jijini Zanzibar