State House Blog

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Mwinyi amefungua Kongamano la kuadhimisha Miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar katika Ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja.

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kulifungua Kongamano la Kuadhimisha Miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh. Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 25-4-2023.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kulifungua Kongamano la Kuadhimisha Miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh. Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar25-4-2023.
  • MTOA Mada Mhe. Stephen Masatu Wasira akiwasilisha Mada yake kuhusu Historia ya Umuhimu wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, wakati wa Kongamano la Kuadhimisha Miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar,lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh. Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 25-4-2023.
  • MTOA Mada Mhe.Balozi Mohammed Haji Hamza akiwasilisha Mada yake kuhusu Fursa Ziliopo kwa Vijana Ndani ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, wakati wa Kongamano la Kuadhimisha Miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar,lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh.Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar 25-4-2023
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akipiga makofi kumpongeza Mwasilishaji wa Mada Mhe. Stephen Wasira, wakati akiwasilisha Mada yake katika Kongamano la Kuadhimisha Miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh.Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar 25-4-2023
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiagana na Prof. Patrick Lumumba baada ya kulifungua Kongamano la Kuadhimisha Miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh.Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar 25-4-2023 na (kulia kwa Rais) Mhe. Stephen Wasira.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kulifungua Kongamano la Kuadhimisha Miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh. Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar 25-4-2023.

Rais wa Zanzibar Alhajj Dk.Hussein Mwinyi amelihutubia Baraza la Eid El Fitry ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Zanzibar 22-4-2023.

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na kuagana na Rais Mstaafu wa Zanzibar Alhajj Dkt.Amani Karume na Rais Mstaaf wa Zanzibar Alhajj Dk.Ali Mohamed Shein, baada ya kumalizika kwa Baraza la Eid El Fitry lililofanyika 23-4-2023 katika ukumbi wa Sheikh. Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar.
  • RAIS Mstaafu wa Zanzibar Alhajj Dk.Ali Mohamed Shein akiwasalimia Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, wakati akiondoka katika ukumbi wa Sheikh.Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar, baada ya kumalizika kwa Baraza la Eid El Fitry, lililofanyika 22-4-2023 katika ukumbi huo na kuhutubiwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi.
  • VIONGOZI na Wageni waalikwa wakijumuika katika kuitikia dua ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Saleh Omar Kabi(hayupo pichani) baada ya kumalizika kwa Baraza la Eid El Fitry lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh.Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibarb 22-4-2023.
  • MABALOZI Wadogo wanaofanyia Kazi zao Zanzibar wakijumuika katika kuitikia dua ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Saleh Omar Kabi (hayupo pichani) baada ya kumalizika kwa Baraza la Eid El Fitry lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar na kuhutubiwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi 22-4-2023
  • BAADHI ya Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar wakijumuika katika kutikia dua ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Saleh Omar Kabi (hayupo pichani) baada ya kumalizika kwa hutuba ya Baraza la Eid El Fitry, lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh. Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar lililohutubiwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi, 22-4-2023
  • VIONGOZI wa Serikali na Marais Wastaafu wa Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Baraza la Eid El Fitry, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akilihutubia katika ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja leo 22-4-2023, baada ya kumalizika kwa mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika katika kutikia dua ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Saleh Omar Kabi, baada ya kumalizika kwa hutuba ya Baraza la Eid El Fitry lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 22-4-2023, baada ya kumalizika kwa mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan na (kushoto kwa Mufti) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman na (kulia kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba,Sheria, Utumishi na Utawala Bora Zanzibar Mhe. Haroun Ali Suleiman na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Othman Masoud Othman
  • MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akiwatunza Wasomaji wa Qaswida Maalum iliyoandaliwa kwa ajili ya Baraza la Eid El Fitry, lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh.Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar 22-4-2023

RAIS WA ZANZIBAR ALHAJJ DK.HUSSEINN MWINYI MGENI RASMIN FAINALI ZA TUZO ZA KIMATAIFA ZA QURAN TUKUFU UKUMBI WA DIAMOND JUBILEE JIJINI DAR ES SALAAM

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi zawadi mshindi wa Kwanza wa Mashindano ya Fainali ya TUZO za Kimataifa za Quran Tukufu Tanzania, kutoka Nchini Yeman. Galal Hamdi Saeed,baada ya kuibuka mshindi wa Kwanza katika mashindano hayo ya Kimataifa ya Quran Tanzania yaliyofanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee Jijini Dar es Salaam
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi TUZO ya Mshindi wa Kitaifa ya Quran Tukufu Tanzania Sheikh Suleiman Omar (Mwalimu Sule) kutoka Zanzibar, wakati wa Mashindano ya Fainali ya TUZO za Kimataifa za Quran Tukufu Tanzania, yaliyofanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee Jijini Dar sa Salaam leo 16-4-2023, na (kulia kwake) Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Alhajj Dk.Abdulmajid Nsekela
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi zawadi mshindi wa Pili wa Mashindano ya Fainali ya TUZO za Kimataifa za Quran Tukufu Tanzania, kutoka Nchini Sweden Abubaker Sharif Abubaker ,baada ya kuibuka mshindi wa Pili katika mashindano hayo ya Kimataifa ya Quran Tanzania yaliyofanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee Jijini Dar es Salaam
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi zawadi mshindi wa Tatu wa Mashindano ya Fainali ya TUZO za Kimataifa za Quran Tukufu Tanzania, kutoka Nchini Tanzania Abdul-Wahabu Daudi Biro,baada ya kuibuka mshindi wa Tatu katika mashindano hayo ya Kimataifa ya Quran Tanzania yaliyofanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee Jijini Dar es Salaam
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akimpongeza Mshiriki wa Mashindano ya Fainali ya TUZO za Kimataifa za Quran Tukufi Tanzania, ni mshiriki mwenye umri mdogo wa miaka 10 kutoka Nchini Bangladesh MD Sadikur Rahman, baada ya kumkabidhi dola 500, zilizotolewa na Benki ya CRDB (kushoto ) Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Alhajj Dk.Abdulmajid Nsekela, baada ya kumalizika kwa mashindano hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee Jijini Dar es Salaam
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa TUZO Maalum na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kuhifadhi Quran Tanzania Sheikh. Othman Kaporo, baada ya kumalizika kwa Mashindano ya Fainali ya TUZO za Kimataifa za Quran Tanzania yaliyofanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee Jijini Dar es Salaam
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia wakati wa Mashindano ya Fainali za TUZO za Kimataifa za Quran Tukufu Tanzania yaliyofanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee Jijini Dar es Salaam
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia wakati wa Mashindano ya Fainali za TUZO za Kimataifa za Quran Tukufu Tanzania yaliyofanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee Jijini Dar es Salaam
  • MSHIRIKI wa Fainali za TUZO za Kimataifa za Quran Tukufu Tanzania kutoka Nchini Bangladesh MD Sadikur Rahman akiwa na umri wa miaka 10, akishiriki katika mashandano hayo ya Kimataifa yaliyofanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee Jijini Dar es Salaam leo 16-4-2023, na kuzawadiwa Dola 500 na Benki ya CRDB kwa kuwa mshiriki mwenye umri mdogo.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akifuatilia Mashidano ya Fainali ya TUZO za Kimataifa ya Quran TukufuTanzania yaliyofanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee Jijini Dar es Salaam leo 16-4-2023, na (kushoto kwa Rais) Kaimu Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh.Hamid Masoud Jongo.
  • WASHIRIKI wa Fainali ya Tuzo za Kimataifa za Mashindano ya Quran Tukufu Tanzania yaliyofanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee Jijini Dar es Salaam, wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi, wakati akihutubia baada ya kukabidhi zawadi kwa washindi wa mashindano hayo yaliofanyika
  • MSHIRIKI wa Fainali za TUZO za Kimataifa za Quran Tukufu Tanzania kutoka Zanzibar. Fahadi Haji Ali akisoma Quran wakati wa mashndano hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee Jijini Dar es Salaam

UGAWAJI WA SADAKA MKOA WA MJINI MAGHARIBI

  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (wa pili kulia)) alipokuwa akimakabidhi Bi.Saina Juma yahya (kulia) wa Donge mwenye Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (wa pili kulia)) alipokuwa akimakabidhi Bi.Saina Juma yahya (kulia) wa Donge mwenye ulemavu wa Ngozi (Albino) sadaka ya chakula kilichotolewa na Jumuiya ya Maendeleo Zanzibar (ZIDO) kupitia Mfadhili Mkuu Bi.Rehana Mirali, katika hafla ya ugawaji wa kwa ajili ya Mfungo wa mwezi Mtukufu Ramadhani katika Mkoa wa Mjini Magharibi viwanja Mnarani Mwembekisonge.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) alipokuwa katika picha na Watoto wenye ulemavu wa Ngozi (Albino) mara baada ya zoezi la utoaji wa sadaka ya chakula kilichotolewa na Jumuiya ya Maendeleo Zanzibar (ZIDO) kupitia Mfadhili Mkuu Bi.Rehana Mirali, kwa ajili ya Mfungo wa mwezi Mtukufu Ramadhani katika Mkoa wa Mjini Magharibi iliyofanyika leo viwanja Mnarani Mwembekisonge
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto) alipokuwa akizungumza na makundi mbali mbali yenye mahitaji maalum katika hafla ya kuwakabidhi sadaka ya chakula kilichotolewa na Jumuiya ya Maendeleo Zanzibar (ZIDO) kupitia Mfadhili Mkuu Bi.Rehana Mirali, kwa ajili ya Mfungo wa mwezi Mtukufu Ramadhani katika Mkoa wa Mjini Magharibi iliyofanyika viwanja Mnarani Mwembekisonge
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) alipokuwa akimkabidhi Miwani Mtoto Maliha Mohamed Juma na mdogo wake Maitham Mohamed Juma wakiwa na ulemavu wa Ngozi (Albino) wakaazi wa Mombasa "B" katika hafla ya sadaka ya chakula kilichotolewa na Jumuiya ya Maendeleo Zanzibar (ZIDO) kupitia Mfadhili Mkuu Bi.Rehana Mirali, kwa ajili ya Mfungo wa mwezi Mtukufu Ramadhani katika Mkoa wa Mjini Magharibi leo viwanja Mnarani Mwembekisonge

RAIS WA ZANZIBAR ALHAJJ DK.HUSSEIN MWINYI AKABIDHI MSAADA WA FUTARI KWA WANANCHI WA MKOA WA MJINI MAGHARIBI UNGUJA WA MAKUNDI MAALUM

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidha msaada wa futari na Tende Bwa.Hashim Mashaka Salim, baada ya kumalizika kwa hafla ya futari aliyowaandalia Wananchi wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja wa Makundi Maalum, iliyofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar jana 8-4-2023, na (kulia kwa Rais) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt.Mohammed Said Dimwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais,Katiba, Sheria,Utumishi na Utawala Bora Zanzibar Mhe.Haroun Ali Suleiman.(kushoto kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe.Idrissa Mustafa Kitwana
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidha msaada wa futari na Tende Bi.Hidaya Hana Mrikisisa, baada ya kumalizika kwa hafla ya futari aliyowaandalia Wananchi wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja wa Makundi Maalum, iliyofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar jana 8-4-2023, na (kulia kwa Rais) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt.Mohammed Said Dimwa na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe.Idrissa Mustafa Kitwana
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidha msaada wa futari na Tende Bi.Fauzia Rajab Shaban,baada ya kumalizika kwa hafla ya futari aliyowaandalia Wananchi wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja wa Makundi Maalum, iliyofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar jana 8-4-2023, na (kulia kwa Rais)Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais,Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora Zanzibar Mhe, Haroun Ali Suleiman,na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe.Idrissa Mustafa Kitwana