State House Blog

Mwakilishi wa UNicef Tanzania.

  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhi zawadi ya Mlango wa Zanzibar kwa mgeni wake Mwakilishi Mkaazi wa UNICEF Nchini Tanzania Bi. Shalina Baguhuna, alipofika Ikulu Jijini Zanzibar akiwa na Ujumbe wake leo katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na mgeni wake Mwakilishi Mkaazi wa UNICEF Nchini Tanzania Bi. Shalina Baguhuna, alipofika Ikulu Jijini Zanzibar akiwa na Ujumbe wake leo katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akizungumza na mgeni wake Mwakilishi Mkaazi wa UNICEF Nchini Tanzania Bi. Shalina Baguhuna (kushoto) alipofika Ikulu Jijini Zanzibar leo katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar (wa tatu kulia) Katibu Mkuu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said na Wasaidizi wa Rais.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na mgeni wake Mwakilishi Mkaazi wa UNICEF Nchini Tanzania Bi. Shalina Baguhuna, alipofika Ikulu Jijini Zanzibar akiwa na Ujumbe wake katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar