Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amelifungua Kongamano la Pili la Madaktari na wahudumu wa Afya lililofanyika leo ukumbi wa chuo cha Utalii Maruhubi Zanzibar.
16 Apr 2022
230
Rais wa Zanzibar Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi amejumuika na wananchi wa Chaani Unguja katika sala ya Ijumaa iliyofanyika Msikiti Mweupe.
15 Apr 2022
113
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na kuzungumza na Wazee wa Baraza la Wazee wa CCM Kisiwani Pemba.
14 Apr 2022
122
Rais wa Zanzibar Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi amejumuika na Wananchi wa Mkoa wa Kusini Pemba katika Futari maalum aliyowaandalia katika ukumbi wa uwanja wa Watoto Tibirinzi Chake Chake Pemba.
14 Apr 2022
158
Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amekabidhi Msaada wa Futari kwa Wananchi wenyemahitaji maalum Kisiwani Pemba.