TAARIFA KWA VYOMBO HABARI
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Dk.Hussein Ali Mwinyi amefanya Uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi,Wakurugenzi mbali mbali na Katibu wa Kamisheni ya Utumishi kama ifuatavyo:-
1. Kanal Mstaafu Said Ali Hamad ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakala wa Ulinzi
wa JKU.
2. Ndugu Siyajabu Suleiman Pandu ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Uratibu wa Shughuli
za Serikali Katika Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais.
3. Ndugu Khalid Bakar Hamran ameteuliwa kuwa Mratibu Mkuu wa Afisi ya Uratibu wa
Shughuli za SMZ - Dodoma Katika Ofisi ya Makamu wa PIli wa Rais.
Inaendelea chini katika attachment husika ya PDF...