Dk. Hussein Ali Mwinyi ameutaka Uongozi wa Wizara ya Afya, Ustawi wa Jamii, Wazee, Jinsia na Watoto kuhakikisha kituo cha Afya Kidimni kinakuwa na wataalamu wa huduma zote zinazopatikana kituoni hapo

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameutaka Uongozi wa Wizara ya Afya, Ustawi wa Jamii, Wazee, Jinsia na Watoto kuhakikisha kituo cha Afya Kidimni kinakuwa…

Soma Zaidi

Uzinduzi wa Taasisi Zanzibar Maisha Bora Foundation (ZMBF)

ya MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi amesema kuwa dhamira iliyompelekea kuanzisha Taasisi Zanzibar Maisha Bora Foundation (ZMBF), ni kuweza kutumia ujuzi, maarifa na uzoefu alionao katika…

Soma Zaidi

Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Hayati Dr, Mwelecele Ntuli Malecela (Dr. Mwele) ni mwanataaluma aliejitolea kwa dhati kulipigania Taifa la Tanzania

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Hayati Dr, Mwelecele Ntuli Malecela (Dr. Mwele) ni mwanataaluma aliejitolea kwa dhati kulipigania Taifa la…

Soma Zaidi

Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi amewataka watumishi wa umma kufanya kazi kwa kuzingatia haki na uadilifu.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi amewataka watumishi wa umma kufanya kazi kwa kuzingatia haki na uadilifu kwa kutambua dhima kubwa waliyonayo…

Soma Zaidi

Dk. Hussein Ali Mwinyi ametengua uteuzi wa Kamishna Mkuu wa Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) Salum Yussuf Ali

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ametengua uteuzi wa Kamishna Mkuu wa Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) Salum Yussuf Ali ili kupisha uchunguzi wa kina…

Soma Zaidi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Zanzibar imekuwa ni nchi ya kwanza Afrika kutumia teknolojia ya mashine ya kupimia UVIKO 19 (EDE Covid Scanners).

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema kuwa Zanzibar imekuwa ni nchi ya kwanza Afrika kutumia teknolojia ya mashine ya kupimia UVIKO 19 (EDE Covid…

Soma Zaidi