Habari

Miaka 61 ya Mapinduzi ni kumbukumbu ya Wananchi wa Zanzibar kujikomboa Kiuchumi ,Kisiasa na KijamiƬ yaliyotokana na Madhila ya kutawaliwa

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk, Hussein Ali Mwinyi amesema Miaka 61 ya Mapinduzi ni kumbukumbu ya Wananchi wa Zanzibar kujikomboa Kiuchumi ,Kisiasa na KijamiƬ yaliyotokana…

Soma Zaidi

Serikali imevuka malengo ya Ilani ya CCM katika Sekta ya Elimu kwa Mafanikio Makubwa

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi amesema Serikali imevuka malengo ya Ilani ya CCM katika Sekta ya Elimu kwa Mafanikio Makubwa.Rais Dk, Mwinyi ametoa Tamko hilo alipoifungua…

Soma Zaidi

Programu ya kuwapatia Wanafunzi wa kike taulo za kike ni Program ya Mama ya Taasisi hiyo ni ya endelevu.

Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi amesema Programu ya Kuwapatia Wanafunzi wa Kike Taulo za Kike ni Program Mama ya Taasisi hiyo na ni Endelevu.Mama Mariam Mwinyi ambae ni Mwenyekiti…

Soma Zaidi

Alhaj Dk, Hussein Ali Mwinyi amewanasihi Waumini wa Dini ya Kislamu kuitumia Misikiti vizuri kukabiliana na Changamoto katika jamii.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk, Hussein Ali Mwinyi amewanasihi Waumini wa Dini ya Kislamu Kuitumia Misikiti Vizuri Kukabiliana na Changamoto Katika jamii.Alhaj…

Soma Zaidi

Dk, Hussein Ali Mwinyi amesema Zanzibar Itapiga Hatua kubwa ya Maendeleo endapo kasi iliyooneshwa katika Ujenzi wa Miradi ya Maendeleo itaendelezwa

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk, Hussein Ali Mwinyi amesema Zanzibar Itapiga Hatua kubwa ya Maendeleo endapo kasi iliyooneshwa katika Ujenzi wa Miradi ya Maendeleo itaendelezwa.Rais…

Soma Zaidi