Ulipaji na ukusanyaji kodi ndio utakaowezesha Serikali kukabiliana na changamoto za maendeleo.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein ametoa wito wa kuongeza ufanisi katika ulipaji na ukusanyaji wa kodi nchini kwa kuwa ndio utakaowezesha Serikali kukabiliana…

Soma Zaidi

Tafiti vyuo Vikuu zilenge kuleta ufanisi utekelezaji wa mipango ya maendeleo ya Nchi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesema kuwa utanuzi wa mitaala, ufundishaji na ufanyaji wa tafiti katika vyuo vikuu hauna budi kuelekezwa katika kufatuta…

Soma Zaidi

Ni wajibu kwa Serikali kuwapelekea wananchi wake huduma bora za kijamii,kiuchumi na maendeleo.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amezindua umeme katika kijiji cha Dongongwe,Mkoa wa Kusini Unguja na kusema kuwa Serikali kuwapelekea huduma bora za…

Soma Zaidi

Zanzibar State House

Soma Zaidi

Serikali ya Mapinduzi Zanzibar itaendeleza jitihada zake za kukuza biashara katika sekta binapsi.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesema kuwa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar itaendeleza jitihada zake za kuimarisha mazingira ya biashara na kukuza…

Soma Zaidi

Dk.Shein amelipongeza Shirika la Afya Duniani (WHO) kwa kuendelea kuiunga mkono Zanzibar.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amelipongeza Shirika la Afya Duniani (WHO) kwa kuendelea kuiunga mkono Zanzibar katika juhudi zake za kuimarisha sekta…

Soma Zaidi

Wabunge wa Bunge la Ireland wameahidi nchi yao kuendelea kuiunga mkono Zanzibar.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amefanya mazungumzo na Wabunge wa Bunge la Ireland na kuwaeleza mafanikio yaliyopatikana katika kuimarisha Serikali…

Soma Zaidi

Dk.Shein amesisitiza ushirikiano na maelewano ndani ya vilabu.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein amesisitiza ushirikiano na maelewano ndani ya vilabu pamoja na taasisi zinazosimamia michezo nchini na kukipongeza…

Soma Zaidi