Habari

Rais Mwinyi ameongoza kikao cha kwanza cha Baraza la Mapinduzi katika kipindi cha Pili cha Serikali ya awamu ya Nane

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, leo tarehe 29 Disemba 2025, ameongoza Kikao cha kwanza cha Baraza la Mapinduzi (BLM) katika kipindi cha pili…

Soma Zaidi

Ujenzi wa Skuli za Ghorofa ni suluhisho la uhaba wa madarasa.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali itaendelea kutekeleza mkakati wa ujenzi wa skuli za ghorofa kama suluhisho la kudumu la changamoto…

Soma Zaidi

Dkt Hussein Ali Mwinyi amesema hakuna neema kubwa zaidi ya Amani na kuwahimiza Waumini na Wananchi kuidumisha neema hiyo.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Hussein Ali Mwinyi amesema hakuna neema kubwa zaidi ya Amani na kuwahimiza Waumini na Wananchi kuidumisha neema hiyo. ALhaji Dkt, Mwinyi…

Soma Zaidi

Michezo ni nyenzo muhimu na alama ya kuwaunganisha watu wa jamii na mataifa mbalimbali katika kuimarisha ushirikiano, upendo na umoja

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema michezo ni nyenzo muhimu na alama ya kuwaunganisha watu wa jamii na mataifa mbalimbali katika kuimarisha…

Soma Zaidi