Dk. Hussein Ali Mwinyi, kesho tarehe 2 Disemba 2022 anatarajiwa kuzindua rasmi Taasisi ya ‘Presidential Delivery Bureau (PDB),Ikulu Zanzibar.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi, kesho anatarajiwa kuzindua rasmi Taasisi ya ‘Presidential Delivery Bureau (PDB), katika hafla itakayofanyika Ikulu…

Soma Zaidi

Dk. Hussein Ali Mwinyi leo amemuapisha Ali Khamis Juma kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Biashara , Viwanda na Masoko

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi leo amemuapisha Ali Khamis Juma kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Biashara , Viwanda na Masoko katika hafla iliofanyika Ikulu…

Soma Zaidi

Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema kuna umuhimu wa Taifa kuongeza wataalamu wenye uwezo wa hali ya juu, ili kuongeza ufanisi katika kukabiliana na magonjwa ya figo hapa nchini.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema kuna umuhimu wa Taifa kuongeza wataalamu wenye uwezo wa hali ya juu, ili kuongeza ufanisi katika kukabiliana…

Soma Zaidi

Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali inafarijika kuona taasisi zisizo za Kiserikali zinasaidia juhudi za Serikali katika kuimarisha huduma mbali mbali za kijamii

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali inafarijika kuona taasisi zisizo za Kiserikali zinasaidia juhudi za Serikali katika kuimarisha huduma…

Soma Zaidi

Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema hatua ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kufungua Ubalozi mdogo hapa Zanzibar, itaendeleza kasi katika kukuza uhusiano na ushirikiano wa muda mrefu uliopo hapa nchi

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema hatua ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kufungua Ubalozi mdogo hapa Zanzibar, itaendeleza kasi katika kukuza…

Soma Zaidi