Dk.Hussein Ali Mwinyi, amelitaka Baraza la Maulidi Zanzibar kuendelea kusimamia na kutoa maelekezo na miongozo mizuri ya usomwaji wa maulidi nchini kwani kwa kiasi kikubwa maadili yamekiukwa
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk.Hussein Ali Mwinyi, amalitaka Baraza la Maulidi Zanzibar kuendelea kusimamia na kutoa maelekezo na miongozo mizuri ya usomwaji wa maulidi nchini kwa kwani… Read More