Toggle navigation
Leave this field blank
President's Office and Chairman of Revolutionary Council, Zanzibar
Home
President's Office
Overview
Vision & Mission
President
Past Presidents
Administration
Revolutionary Council
Office of the President
Officer Incharge
Media
News and Events
Speeches and Statements
Press Releases
Photos
Videos
Videos 2
Publications
Speeches
Action Plans
Publications
Reports
Budgets
Blog
Contact Us
Ikulu
State House Zanzibar
State House Zanzibar
Media
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi zawadi Balozi wa Sweden nchini Tanzania, Mhe. Charlotta Ozaki Macias, aliyefika Ikulu Zanzibar kwa ajili ya kuaga baada ya kumaliza muda wake wa kazi nchini.
Media
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, leo tarehe 13 Julai 2026, akiingia katika viwanja vya Maonyesho na kuyafunga rasmi Maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (DITF) ya Jubilei ya Miaka 50, akisisitiza kuwa maonesho hayo yameendelea kuwa jukwaa muhimu la kukuza biashara, uwekezaji, ubunifu, matumizi ya teknolojia na kuimarisha ushirikiano kati ya sekta ya umma na binafsi.
Media
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akifungua Kipazia kuashiria ufunguzi wa Msikiti wa Abrar, uliopo Fuoni Kibondeni, Mkoa wa Mjini Magharibi leo, tarehe 10 Julai 2026, wakati alipojumuika na waumini wa dini ya Kiislamu katika Sala ya Ijumaa.
Media
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameshiriki Sala ya Jeneza la marehemu Sheikh Said Othman Al Kadiry, aliyefariki dunia tarehe 7 Julai 2026 aliyeswaliwa katika Msikiti wa Ijumaa wa Tunduni kwa Masharifu, Mkoa wa Kaskazini Unguja leo tarehe 09 Julai, 2026.
Media
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akishuhudia utiaji wa saini wa ajenda zilizokubaliwa kwa pande zote mbili kwa ajili ya kufanyiwa kazi kufuatia Tamko la Pamoja la Muafaka wa Kisiasa Zanzibar baina ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na ACT-Wazalendo katika Viwanja vya Ikulu Zanzibar leo tarehe 09 Julai, 2026.
President
H.E. Dr. Hussein Ali Mwinyi
President of Zanzibar and Chairman of Revolutionary Council
Talk to the President
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi zawadi Balozi wa Sweden nchini Tanzania, Mhe. Charlotta Ozaki Macias, aliyefika Ikulu Zanzibar kwa ajili
14 Jul 2026
by Ikulu Staff
Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameishukuru Serikali ya Sweden kwa misaada yake ya maendeleo kwa Zanzibar
14 Jul 2026
by Ikulu Staff
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, leo tarehe 13 Julai 2026, akiingia katika viwanja vya Maonyesho na kuyafunga rasmi Maonesho ya Kimataifa ya Biashar
13 Jul 2026
by Ikulu Staff
Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam, (DITF) yamekuwa jukwaa muhimu la kubadilishana uzoefu, kujifunza teknolojia mpya.
13 Jul 2026
by Ikulu Staff
More News and Events
Videos
Facebook
Publications
Hotuba ya Waziri wa Nchi Afisi ya Rais - Ikulu Mheshimiwa Dkt. Saada Mkuya Salum (MBM) kuhusu makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa Fedha 2026/2027.
08 May 2026
Hotuba ya Waziri wa Nchi Afisi ya Rais - Ikulu Mheshimiwa Dkt. Saada Mkuya Salum (MBM) makadirio ya mapato na matumizi mwaka wa Fedha 2026/2027.
08 May 2026
Risala ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Al Haj Dk. Hussein Ali Mwinyi ya Kuukaribisha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa Mwaka 2026 Miladia, sawa na Mwaka 1447 Hijria.
18 Feb 2026
HOTUBA YA RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHESHIMIWA DK. HUSSEIN ALI MWINYI KATIKA UFUNGUZI WA JENGO LA HUDUMA ZA MATIBABU YA DHARURA NA MAABARA KWENYE KITUO CHA AFYA MAKUNDUCHI
17 Jan 2024
English
Swahili