Toggle navigation
Leave this field blank
President's Office and Chairman of Revolutionary Council, Zanzibar
Home
President's Office
Overview
Vision & Mission
President
Past Presidents
Administration
Revolutionary Council
Office of the President
Media
News and Events
Speeches and Statements
Press Releases
Photos
Videos
Videos 2
Publications
Speeches
Action Plans
Publications
Reports
Budgets
Blog
Contact Us
Ikulu
State House Zanzibar
State House Zanzibar
Media
Mke wa Rais wa Zanzibar, na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mama Mariam Mwinyi, amemtunukia zawadi ya heshima Mke wa Rais wa Jamhuri ya Singapore, Mhe. Jane Ittogi Shanmugaratnam, na kumhakikishia kuendelezwa kwa ushirikiano baina yao
Media
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Mwinyi akiagana na Mkuu wa Chuo Kikuu Huria Tanzania Mheshimiwa Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mizengo Peter Pinda. Ikulu Zanzibar.
Media
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi akipokea zawadi kutoka kwa miongoni mwa Mabalozi, wa nchi za Kiarabu wanaoziwakilisha nchi zao nchini Tanzania waliofika Ikulu Zanzibar kumpongeza kwa mafanikio ya maendeleo yanayopatikana Zanzibar chini ya uongozi wake.
Media
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akiagana na mwanazuoni na mhamasishaji wa dhana ya Utalii Halali Duniani, Bw. Ismail Bullock kutoka Dubai,baada ya mazungumzo hayo yamefanyika leo, tarehe 03 Juni 2026, Ikulu Zanzibar pamoja na ujumbe alioambatana nao kutoka Taasisi ya Samia Foundation.
Media
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, Mapema baada ya sala Eid El-Hajj alifika Ikulu Ndogo ya Pagali katika eneo maalum lililoandaliwa kwa ajili ya kuchinja mnyama wa (Udh-hiya), ikiwa ni sehemu ya ibada ya Eid, pamoja na kutoa mkono wa Eid kwa Masheikh wa Mkoa huo, kama ilivyo Sunna katika kusherehekea Sikukuu ya Eid El-Hajj.
President
H.E. Dr. Hussein Ali Mwinyi
President of Zanzibar and Chairman of Revolutionary Council
Talk to the President
News and Events
Mke wa Rais wa Zanzibar, na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mama Mariam Mwinyi, amemtunukia zawadi ya heshima Mke wa Rais wa Jamhuri ya Singapore, Mhe. Jane Ittogi Shanmugaratnam, na kumhakikishia
10 Jun 2026
by Ikulu Staff
Mama Mariam Mwinyi amempokea Mke wa Rais wa Singapore na kujadili fursa za ushirikiano.
10 Jun 2026
by Ikulu Staff
Rais Dkt.Mwinyi amesema Zanzibar inafungua ukurasa mpya wa Ushirikiano na Singapore.
10 Jun 2026
by Ikulu Staff
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Mwinyi akiagana na Mkuu wa Chuo Kikuu Huria Tanzania Mheshimiwa Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mizengo
10 Jun 2026
by Ikulu Staff
More News and Events
Videos
Facebook
Publications
Hotuba ya Waziri wa Nchi Afisi ya Rais - Ikulu Mheshimiwa Dkt. Saada Mkuya Salum (MBM) kuhusu makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa Fedha 2026/2027.
08 May 2026
Hotuba ya Waziri wa Nchi Afisi ya Rais - Ikulu Mheshimiwa Dkt. Saada Mkuya Salum (MBM) makadirio ya mapato na matumizi mwaka wa Fedha 2026/2027.
08 May 2026
Risala ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Al Haj Dk. Hussein Ali Mwinyi ya Kuukaribisha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa Mwaka 2026 Miladia, sawa na Mwaka 1447 Hijria.
18 Feb 2026
HOTUBA YA RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHESHIMIWA DK. HUSSEIN ALI MWINYI KATIKA UFUNGUZI WA JENGO LA HUDUMA ZA MATIBABU YA DHARURA NA MAABARA KWENYE KITUO CHA AFYA MAKUNDUCHI
17 Jan 2024
English
Swahili