Toggle navigation
Leave this field blank
President's Office and Chairman of Revolutionary Council, Zanzibar
Home
President's Office
Overview
Vision & Mission
President
Past Presidents
Administration
Revolutionary Council
Office of the President
Media
News and Events
Speeches and Statements
Press Releases
Photos
Videos
Videos 2
Publications
Speeches
Action Plans
Publications
Reports
Budgets
Blog
Contact Us
Ikulu
State House Zanzibar
State House Zanzibar
Media
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akisalimiana na Spika wa Baraza la Wawakilishi katika viwanja wa Baraza hilo hapo chukwani Zanzibar wakati Mheshimiwa rais alipokwenda kulizindua Baraza hilo leo tarehe 10 Octoba, 2025.
Media
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akimuapisha Mhe. Hemed Suleiman Abdulla kuwa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar.Mhe. Hemed Suleiman Abdulla ameteuliwa kushika wadhifa huo kwa mara ya pili katika Awamu ya Nane ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Media
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akimuapisha Dkt. Mwinyi Talib Haji kuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar.Hafla ya uapisho imefanyika leo tarehe 6 Novemba 2025, Ikulu, Zanzibar.Dkt. Mwinyi Talib Haji ameteuliwa tena kushika nafasi hiyo baada ya kuitumikia katika kipindi kilichopita.
Media
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt .Hussein Ali Mwinyi akishuhudia utiaji wa Saini wa Mikataba inahusisha ujenzi wa miradi mitatu mikubwa ya kimkakati ambayo ni Ujenzi wa Taasisi ya Saratani Binguni, Mradi wa Usambazaji Maji Mkoa wa Kusini Unguja, na Mradi wa Mfumo Jumuishi wa Usimamizi na Usajili wa Huduma za Ardhi Zanzibar (LARIS).
Media
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akiwa katika picha ya pamoja na wanachama na wapenzi wa Chama cha Mapinduzi wakati wa uwekaji wa jiwe la msingi la ujenzi wa jengo la huduma za akina mama na watoto katika Hospitali ya Makunduchi, Mkoa wa Kusini Unguja leo tarehe 27 Octoba, 2025.
President
H.E. Dr. Hussein Ali Mwinyi
President of Zanzibar and Chairman of Revolutionary Council
Talk to the President
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akisalimiana na Spika wa Baraza la Wawakilishi katika viwanja wa Baraza hilo hapo chukwani Zanzibar wakati Mheshimi
10 Nov 2025
by Ikulu Staff
Rais Mwinyi amezindua Baraza La 11 la Wawakilishi, atoa Mwelekeo wa Serikali Kipindi cha Pili cha Awamu ya Nane
10 Nov 2025
by Ikulu Staff
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akimuapisha Mhe. Hemed Suleiman Abdulla kuwa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar.Mhe. Hemed Suleiman Abdulla ameteul
08 Nov 2025
by Ikulu Staff
RAIS Mwinyi amemuapisha Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar.
08 Nov 2025
by Ikulu Staff
More News and Events
Videos
Facebook
Publications
HOTUBA YA RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHESHIMIWA DK. HUSSEIN ALI MWINYI KATIKA UFUNGUZI WA JENGO LA HUDUMA ZA MATIBABU YA DHARURA NA MAABARA KWENYE KITUO CHA AFYA MAKUNDUCHI
17 Jan 2024
HOTUBA YA RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHESHIMIWA DK. HUSSEIN ALI MWINYI, KATIKA KUADHIMISHA MIAKA 60 YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR
11 Jan 2024
RISALA YA RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHESHIMIWA DK HUSSEIN ALI MWINYI YA KUUAGA MWAKA 2023 NA KUUKARIBISHA MWAKA MPYA WA 2024
31 Dec 2023
HOTUBA YA RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHESHIMIWA DK. HUSSEIN ALI MWINYI KATIKA HAFLA YA KILELE CHA SHEREHE ZA MWEZI WA SHUKURANI NA FURAHA KWA WALIPA KODI KATIKA UKUMBI WA HO
30 Dec 2023
English
Swahili