Toggle navigation
Leave this field blank
President's Office and Chairman of Revolutionary Council, Zanzibar
Home
President's Office
Overview
Vision & Mission
President
Past Presidents
Administration
Revolutionary Council
Office of the President
Media
News and Events
Speeches and Statements
Press Releases
Photos
Videos
Videos 2
Publications
Speeches
Action Plans
Publications
Reports
Budgets
Blog
Contact Us
Ikulu
State House Zanzibar
State House Zanzibar
Media
News and Events
Media
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Mheshimiwa Dk. Hussein Ali Hassan Mwinyi akipokea heshima ya kupigiwa mizinga 21 wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya sherehe za miaka 61 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yaliyofanyika katika kiwanja cha Mpira cha Gombani kisiwani Pemba.
Media
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dk. Hussein Ali Hassan Mwinyi akikagua Gwaride la Vikosi vya Ulimzi na Usalama vya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania pamoja na vikosi vya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya sherehe za miaka 61 ya Mapinduzi zanzibar yaliyofanyika katika kiwanja cha Mpira cha Gombani kisiwani Pemba.
Media
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk, Hussein Ali Mwinyi akiweka jiwe la msingi la ukarabati mkubwa wa Uwanja wa Gombani na Viwanja vyengine Wilaya ya Chake Chake , Mkoa wa Kusini Pemba.
Media
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi alipofungua ghala la Kuhifadhia chakula Gando , Wilaya ya Wete ,Mkoa wa Kaskazini Pemba linalomilikiwa na Kampuni ya Yasser Provision.Aidha Rais Dk.Mwinyi amesema Serikali inalenga Kuwapunguzia Mzigo wa Gharama Wafanyabiashara wanaoleta chakula nchini ili kuwepo kwa Unafuu wa bei kwa Wananchi.
President
H.E. Dr. Hussein Ali Mwinyi
President of Zanzibar and Chairman of Revolutionary Council
Talk to the President
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Balozi wa Tanzania nchini Nigeria, Balozi Selestine Gervas Kakele aliefika Ikulu Zanzibar tarehe 14 Januari
15 Jan 2025
by Ikulu Staff
Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema Zanzibar inaendelea kuweka Mazingira mazuri zaidi ya kuwavutia Wawekezaji zaidi kuwekeza nchini.
15 Jan 2025
by Ikulu Staff
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ameialika Timu ya Taifa ya Zanzibar, Zanzibar Heros Ikulu kwa ajili ya Chakula cha Mchana siku ya Jumatano 15 Januari 2025.
14 Jan 2025
by Ikulu Staff
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ameialika Timu ya Taifa ya Zanzibar, Zanzibar Heroes Ikulu kwa ajili ya Chakula cha Mchana Siku Ya Jumatano15 Januari 2025.
14 Jan 2025
by Ikulu Staff
More News and Events
Videos
Facebook
Publications
Hotuba ya maadhimisho ya Miaka 61 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar Tarehe: 11 Januari, 2025
11 Jan 2025
Hotuba ya Mheshimiwa Dr. Hussein Ali Mwinyi, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi katika Sherehe ya uwekaji wa jiwe la Msingi, Jengo la Ofisi ya Uhamiaji Mkoa wa Mjini Magharibi.
19 Apr 2024
Hotuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Barza la Mapinduzi Mheshimiwa Dk Hussein Ali Mwinyi katika uzinduzi wa Duru ya kwanza ya Utoaji wa Vitalu kwa Kampuni kwa Maeneo ya Baharini
20 Mar 2024
Dk.Hussein Ali Mwinyi amefanya uteuzi
21 Feb 2024
English
Swahili