News and Events

Dk.Hussein Ali Mwinyi, amelitaka Baraza la Maulidi Zanzibar kuendelea kusimamia na kutoa maelekezo na miongozo mizuri ya usomwaji wa maulidi nchini kwani kwa kiasi kikubwa maadili yamekiukwa

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk.Hussein Ali Mwinyi, amalitaka Baraza la Maulidi Zanzibar kuendelea kusimamia na kutoa maelekezo na miongozo mizuri ya usomwaji wa maulidi nchini kwa kwani… Read More

Dk. Hussein Ali Mwinyi, ametoa rai kwa wadau wa kilimo kuendelea kuliimarisha tamasha la Kilimo Hai liwe kubwa zaidi na endelevu ili kuwavutia watalii

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ametoa rai kwa wadau wa kilimo kuendelea kuliimarisha tamasha la Kilimo Hai liwe kubwa zaidi na endelevu ili kuwavutia watalii.Dk. Mwinyi… Read More

Dk.Hussein Mwinyi, amezitaka taasisi zote zinazohusiana na usimamizi wa sekta ya Utalii nchini, kuhakikisha wajasiriamali wa ndani wanapewa kipaumbale kunufaika na fursa zinazopatikana kwenyeUtalii

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi, amezitaka taasisi zote zinazohusiana na usimamizi wa sekta ya Utalii nchini, kuhakikisha wajasiriamali wa ndani wanapewa kipaumbale kunufaika… Read More

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Zanzibar inahitaji ufumbuzi wa haraka kuongeza huduma za jamii vijijini.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Zanzibar inahitaji ufumbuzi wa haraka kuongeza huduma za jamii vijijini. Dk. Mwinyi aliyasema hayo kwenye Mkutano wa Jukwaa la… Read More