State House Blog

Mke wa Rais wa Zanzibar ameongoza matembezi na mazoezi ya viungo katika viwanja vya Mnazi Mmoja Wete Pemba

  • MKE wa Rais wa Zanzibar ambae pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation Mama Mariam Mwinyi, akiongoza matembezi ya mzoezi ya viungo yalioazia katika viwanja vya Kinyasini na kumalizikia katika viwanja vya Mnazi Mmoja Wete na (kulia kwake) Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said na (kushoto kwake) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar Mhe.Dkt.Saada Mkuya na Waziri wa Nchi Ofisi Rais Sera,Uratibu na Baraza la Wawakilishi.Mhe.Hamza Hassan Juma.
  • MKE wa Rais Rais wa Zanzibar ambae pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation Mama Mariam Mwinyi akiwasalimia Wananchi wakati akiongoza matembezi ya mazoezi ya viungo ya kilomita 5, yaliyoshirikisha Vikundi mbalimbali vya mazoezi ya viungo vya Mkoa wa Kaskazini Pemba, yalioazia katika viwanja vya Kinyasini na kumlizikia katika Viwanja vya Mnazi Mmoja Wete Pemba.
  • MKE wa Rais wa Zanzibar ambae pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation Mama Mariam Mwinyi akizungumza na Wanamichezo wa Vikundi vya mazoezi ya viungo yaliyofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja Wete, baada ya kumaliza matembezi hayo na mazoezi ya pamoja ya viungo yaliyofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba.
  • MKE wa Rais wa Zanzibar ambae pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation Mama Mariam Mwinyi akiwasalimia Wananchi wakati akiongoza matembezi ya mazoezi ya viungo ya Kilomita 5 yaliyoazia katika viwanja vya Kinyasini na kumalizikia katika viwanja vya Mnazi Mmoja Wete, na kujumuika katika mazoezi ya pamoja ya viungo na (kulia kwake) Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Lela Mohammed Mussa na (kushoto kwake) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar Mhe.Dkt.Saada Mkuya.
  • MKE wa Rais wa Zanzibar ambae pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation Mama Mariam Mwinyi akiwasalimia Wananchi wakati akiongoza matembezi ya mazoezi ya viungo ya Kilomita 5 yaliyoazia katika viwanja vya Kinyasini na kumalizikia katika viwanja vya Mnazi Mmoja Wete, na kujumuika katika mazoezi ya pamoja ya viungo na (kulia kwake) Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Lela Mohammed Mussa na (kushoto kwake) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar Mhe.Dkt.Saada Mkuya.
  • MKE wa Rais wa Zanzibar ambae pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation Mama Mariam Mwinyi akiongoza matembezi ya mazoezi ya viungo ya Kilimota 5 yaliyoazia katika viwanja vya Kinyasini na kumalizia katika viwanja vya Mnazi mmoja Wete na (kulia kwake) Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Mhe. Salama Mbarouk na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said na (kushoto kwake) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar Mhe.Dkt. Saada Mkuya na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Sera,Uratibu na Baraza la Wawakilishi.Mhe.Hamza Hassan Juma.

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amezungumza na Watendajiu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba katika Mkutano wake wa Majumuisho ya ziara

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza wakati wa mkutano wake wa Majumuisho ya ziara yake katika Mkoa wa Kaskazini Pemba kutmbelea Miradi ya Maendeleo katika Mkoa huo, majumuisho yaliofanyika katika ukumbi wa Halmashauri Wilaya ya Micheweni Pemba.
  • BAADHI ya Mawaziri wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akizungumza katika mkutano wake wa majumuisho ya ziara yake kjatika Mkoa wa Kaskazini Pemba, uliofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Micheweni Pemba, baada ya kumaliza ziara yake katika Mkoa wa Kaskazini Pemba.
  • VIONGOZI wa Chama cha Mapinduzi wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akizungumza katika mkutano wake wa majumuisho ya ziara yake kjatika Mkoa wa Kaskazini Pemba, uliofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Micheweni Pemba, baada ya kumaliza ziara yake katika Mkoa wa Kaskazini Pemba.
  • WAKUU wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama Mkoa wa Kaskazini Pemba wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) wakati wa mkutano wake wa majumuisho ya ziara yake katika Mkoa huo, uliofanyika katika ukumbi wa Halmashauri Micheweni Pemba.
  • VIONGOZI wa Mkoa wa Kaskazini Pemba wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akizungumza katika mkutano wake wa majumuisho ya ziara yake kjatika Mkoa wa Kaskazini Pemba, uliofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Micheweni Pemba, baada ya kumaliza ziara yake katika Mkoa wa Kaskazini Pemba.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza wakati wa mkutano wake wa Majumuisho ya ziara yake katika Mkoa wa Kaskazini Pemba kutmbelea Miradi ya Maendeleo katika Mkoa huo, majumuisho yaliofanyika katika ukumbi wa Halmashauri Wilaya ya Micheweni Pemba.

Rais wa Zanzibar Mhe.,Dk.Hussein Ali Mwinyi amepokea taarifa kabla ya kuaza ziara yake Wilaya Chake chake Pemba

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisoma Taarifa ya Utekelezaji wa Kazi za Mkoa wa Kusini Pemba, wakati Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba.Mhe.Mattar Zahro Masoud (hayupo pichani) akiwasilisha katika ukumbi wa Kiwanda cha Makonyo Wawi. Kabla ya kuendelea na ziara yake katika Wilaya ya Chakechake Pemba leo 27-7-2022. na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Idara Maalum za SMZ.Mhe. Masoud Ali Mohammed na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said.
  • MAOFISA wa Serikali na wa Mkoa wa Kusini Pemba wakifuatilia Taarifa ya Utekezaji wa Kazi za Mkoa wakati Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Mhe.Mattar Zahro Masoud katika ukumbi wa Kiwanda cha Makonyo Wawi Chakechake Pemba kabla ya kuaza kwa ziara ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.
  • MKUU wa Mkoa wa Kusini Pemba Mhe.Mattar Zahro Masoud akiwasili taarifa ya utekelezaji wa Mpango Kazi za Mkoa wake, kabla ya kuaza kwa ziara ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, katika Wilaya ya Chake chake Pemba mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Kiwanda cha Makonyo cha (ZSTC) Wawi.
  • MKUU wa Mkoa wa Kusini Pemba Mhe.Mattar Zahro Masoud akiwasili taarifa ya utekelezaji wa Mpango Kazi za Mkoa wake, kabla ya kuaza kwa ziara ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, katika Wilaya ya Chakechake Pemba,mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Kiwanda cha Makonyo cha (ZSTC) Wawi
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisoma Taarifa ya Utekelezaji wa Kazi za Mkoa wa Kusini Pemba, wakati wa mkutano wa kupokea Taarifa ya Mkoa uliofanyika katika ukumbi wa Kiwanda cha Makonyo cha (ZSTC) Wawi Wilaya ya Chakechake, kabla ya kuaza kwa ziara yake na (kulia kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Mhe. Mattar Zahro Masoud.

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Mwinyi ameweka jiwe la Msingi Ujenzi wa Skuli ya Msingi Makangale Pemba.

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe.Lela Mohammed Mussa, wakati akitembelea jengo la Skuli ya Msingi Makangale Wilaya ya Micheweni Pemba leo 26-7-2022, akiendelea na ziara yake katika Mkoa wa Kaskazini Pemba,na (kushoto kwa Rais) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi na Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Mhe. Salama Mbarouk.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakiwasalimia Wananchi wa Kijiji cha Makangale, wakielekea katika eneo lililotengwa kwa ajili ya kuzungumza na Wananchi, baada ya kuweka Jiwe la Msingi la Skuli ya Msingi Makangale Wilaya ya Micheweni Pemba akiendelea na ziara yake Mkoa wa Kaskazini Pemba leo.26-7-2022.
  • BAADHI ya Wanafunzi wa Skuli za Sekondari na Msingi Makangale Wilaya ya Micheweni Pemba wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akizungumza katika viwanja vya Skuli ya Msingi Makangale baada ya kuweka Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Skuli ya Msingi Makangale.
  • BAADHI ya Wanafunzi wa Skuli za Sekondari na Msingi Makangale Wilaya ya Micheweni Pemba wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akizungumza katika viwanja vya Skuli ya Msingi Makangale baada ya kuweka Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Skuli ya Msingi Makangale.

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amefungua Tawi la Benki ya CRDB Wete Pemba.

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikata utepe kuashiria kulifungua Tawi la Benki ya CRDB Wete Pemba Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba na (kushoto kwa Rais ) Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Abdulmajid Mussa Nsekela na (kulia kwa Rais) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi, ufunguzi huo wa Tawi la Benki ya( CRDB) uliofanyika.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akifungua mlango na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Abdulmajid Mussa Nsekela kuashiria kulifungua Tawi la Benki ya CRDB Wete Pemba na (kushoto kwa Rais) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi, ufunguzi huo uliofanyika 25-7-2022, Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba, wakati wa ziara yake kutembelea Miradi ya Maendeleo katika Mkoa huo.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akifungua mlango na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Abdulmajid Mussa Nsekela kuashiria kulifungua Tawi la Benki ya CRDB Wete Pemba na (kushoto kwa Rais) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi, ufunguzi huo uliofanyika 25-7-2022, Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba, wakati wa ziara yake kutembelea Miradi ya Maendeleo katika Mkoa huo.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akifungua mlango na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Abdulmajid Mussa Nsekela kuashiria kulifungua Tawi la Benki ya CRDB Wete Pemba na (kushoto kwa Rais) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi, ufunguzi huo uliofanyika 25-7-2022, Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba, wakati wa ziara yake kutembelea Miradi ya Maendeleo katika Mkoa huo.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akifungua mlango na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Abdulmajid Mussa Nsekela kuashiria kulifungua Tawi la Benki ya CRDB Wete Pemba na (kushoto kwa Rais) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi, ufunguzi huo uliofanyika 25-7-2022, Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba, wakati wa ziara yake kutembelea Miradi ya Maendeleo katika Mkoa huo.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza lac Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwahutubia Wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Pemba katika hafla ya ufunguzi wa Tawi la Benki ya CRDB Wete Pemba 25-7-2022, wakati wa ziara yake katika Mkoa huo, kutembelea Miradi ya Maendeleo ya Mkoa huo.
  • WANANCHI wa Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akiwahutubia katika hafla ya Ufunguzi wa Tawi la Benki ya CRDB Wete Pemba.
  • MKURUGENZI Mtendaji wa Benki ya CRDB Abdulmaji Mussa Nekela akizunguma na kutowa maelezo kuhusiana na hutuma mbalimbali zinazotolewa na Benki yake kwa Wananchi, wakati wa hafla ya ufunguzi wa Tawi la Benki ya CRDB Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba, lililofunguliwa,na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, akiwa katrika ziara yake Pemba.