Mama Mariam Mwinyi Mgeni Rasmii,Maulid ya Madrasatul Mushawasl Muembe Shauri
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi(wa pili kushoto) akikaribishwa na wakinamama wa Madrasatul Mushawar Mwembeshauri katika Maulid ya kumsifu Mtume Muhamad S.A.W yaliyosomwa leo katika masjid Mushawar Mwembeshaur Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi.
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi (wa pili kushoto) akifukizwa udii wakati wa kumswalia Mtume Muhammad S.A. katika Maulid yaliyosomwa leo katika Masjid Mushawall Mwembeshauri Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi,ambayo yameandaliwa na Madrasatul Mushawar Mwembeshauri.
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akitoa nasaha zake mbele ya waumini wanawake katika Maulid ya kumsifu Mtume Muhamad S.A.W yaliyosomwa katika Madrasatul Mushawar Mwembeshauri Jijini Zanzibar.
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi (wa pili kushoto) akiitikia dua ya Ufunguzi wa Maulid ya kumsifu Mtume Muhamad S.A.W iliyosomwa na Bi.Asha & Bi.Uchungu (wa Pili kulia) katika Masjid Mushawall Mwembeshauri Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi leo,ambayo yameandaliwa na Madrasatul Mushawar Mwembeshauri.
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi (wa pili kushoto) akiitikia dua ya Ufunguzi wa Maulid ya kumsifu Mtume Muhamad S.A.W iliyosomwa na Bi.Asha & Bi.Uchungu (wa Pili kulia) katika Masjid Mushawall Mwembeshauri Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi leo,ambayo yameandaliwa na Madrasatul Mushawar Mwembeshauri
Wamamadrasatul Mushawar Mwembeshauri wakimswalia Mtume Muhammad S.A.W katika Maulid yaliyosomwa Masjid Mushawall Mwembeshauri Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi leo Mgeni Rasmi alikuwa Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi (hayupo pichani).ambapo madrasa mbali mbali zimealikwa katika hafla hiyo.
Waumini Wanawake kutoka sehemu mbali mbali wakiitikia Maulid ya kumsifu Mtume Muhamad S.A.W yaliyosomwa leo katika Masjid Mushawall Mwembeshauri Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi,ambayo yameandaliwa na Madrasatul Mushawar Mwembeshauri
Rais wa Zanzibar Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi ameshiriki kisomo cha Hitma na kutowa Mkono wa pole kwa Familia ya Marehemu Mussa Hassan Mussa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Amani Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Wanafamilia wa Marehemu Mussa Hassan Mussa, aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Amani Zanzibar, alipofika Kijijini kwao marehemu Bwejuu kwa ajili ya kutowa mkono wa pole na kuhudhuria Kisomo cha Hitma na dua ya kumuombea marehemu.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk,.Hussein Ali Mwinyi akitowa mkono wa pole kwa familia ya marehemu Mussa Hassan Mussa, aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Amani Zanzibar, alipofika nyumbani kwa familia ya marehemu Bwejuu Wilaya ya Kusini Unguja 15-10-2022.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Wanafamilia ya Marehemu Mussa Hassan Mussa, aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Amani wakiitikia dua ya kumuombea marehemu, alipofika kutowa mkono wa pole kwa familia Kijijini kwao Bwejuu Wilaya ya Kusini Unguja 15-10-2022, ikisomwa na Katibu Mtendaji Ofisi ya Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Khalid Ali Mfaume.(kushoto kwa Rais).
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akishiriki katika kisomo cha Hitma na Dua ya kumuombea Marehemu Mussa Hassan Mussa, aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Amani Zanzibar, kisomo hicho kilichofanyika katika Msikiti wa Bwejuu Wilaya ya Kusini Unguja.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akishiriki katika kisomo cha Hitma na Dua ya kumuombea Marehemu Mussa Hassan Mussa, aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Amani Zanzibar, kisomo hicho kilichofanyika katika Msikiti wa Bwejuu Wilaya ya Kusini Unguja leo 15-10-2022, na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe. Rashid Hadidi Rashid na (kulia kwa Rais) Katibu Mtendaji Ofisi ya Mufti Mkuu Sheikh Khalid Ali Mfaume.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akishiriki katika kisomo cha Hitma na Dua ya kumuombea Marehemu Mussa Hassan Mussa, aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Amani Zanzibar, kisomo hicho kilichofanyika katika Msikiti wa Bwejuu Wilaya ya Kusini Unguja leo 15-10-2022, na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe. Rashid Hadidi Rashid na (kulia kwa Rais) Katibu Mtendaji Ofisi ya Mufti Mkuu Sheikh Khalid Ali Mfaume.
Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amewasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar akitokea Nchini Oman baada ya kumaliza ziara yake ya kikazi.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla, alipowasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar, jana usiku 14-10-2022, akitokea Nchini Oman baada ya kumaliza ziara yake ya Kikazi ya Siku Nne Nchini humo
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisisitiza jambo wakati wa mkutano wake na Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali Zanzibar, akizungumzia mafanikio ya ziara yake ya Kikazi Nchini Oman,(kulia kwa Rais)Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi,Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzinar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla na Waziri wa Ujenzi na Mawasiliano Zanzibar Mhe.Dkt. Khalid Salum Mohammed.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisisitiza jambo wakati wa mkutano wake na Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali Zanzibar, akizungumzia mafanikio ya ziara yake ya Kikazi Nchini Oman, mazungumzo hayo yualiofanyika katika ukumbi wa VIP Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar, (kulia kwa Rais)Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi,Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzinar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla na Waziri wa Ujenzi Mawasiliano na Uchukuzi Zanzibar Mhe.Dkt. Khalid Salum Mohammed.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali Zanzibar baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar, kuelezea mafanikio ya ziara yake ya Kikazi ya siku nne Nchini Oman.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla, alipowasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar, jana usiku 14-10-2022, akitokea Nchini Oman baada ya kumaliza ziara yake ya Kikazi ya Siku Nne Nchini humo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amekutana na kufanya mazungumzo na Mtawala wa Oman Mhe: Sultan Haitham bin Tariq kwa mazungumzo yaliyofanyika katika Kasr
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amekutana na Mtawala wa Oman Mhe: Sultan Haitham bin Tariq kwa mazungumzo yaliyofanyika katika Kasri la Sultani la Alm Barakah.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwa katika siku yake ya pili ya ziara nchini Oman amekutana na kufanya mazungumzo na Mtawala wa Oman Mhe: Sultan Haitham bin Tariq kwa mazungumzo yaliyofanyika katika Kasri la Sultani la Alm Barakah.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwa katika siku yake ya pili ya ziara nchini Oman amekutana na kufanya mazungumzo na Mtawala wa Oman Mhe: Sultan Haitham bin Tariq kwa mazungumzo yaliyofanyika katika Kasri la Sultani la Alm Barakah.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amekutana na kufanya mazungumzo na Mtawala wa Oman Mhe: Sultan Haitham bin Tariq kwa mazungumzo yaliyofanyika katika Kasri la Sultani la Alm Barakah.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amekutana na kufanya mazungumzo na Mtawala wa Oman Mhe: Sultan Haitham bin Tariq kwa mazungumzo yaliyofanyika katika Kasri la Sultani la Alm Barakah.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi akifuatana na Mtawala wa Oman Mhe: Sultan Haitham bin Tariq baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika katika Kasri la Sultani la Alm Barakah.
Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Mwinyi ameondoka nchini akielekea nchini Oman kwa ziara ya kikazi ya siku nne nchini humo 11-10-2022.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na kuagana na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe.Othman Masoud Othman na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla, Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar, akielekea Nchini Oman kwa Ziara ya Kikazi ya Siku Nne Nchini humo leo 11-10-2022
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi, wakisalimiana na kuagana na Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama Zanzibar Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar akielekea Nchini Oman kwa ziara ya siku nne ya Kikazi Nchini humo leo 11-10-2022
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na kuagana na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe.Othman Masoud Othman na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla, Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar, akielekea Nchini Oman kwa Ziara ya Kikazi ya Siku Nne Nchini humo
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakisalimia na kuagana na Wazee wa Chama Cha Mapinduzi, Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar akielekea Nchi Oman kwa ziara ya Kikazi ya Siku nne Nchini humo leo.11-10-2022
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwapungia mkono na kuwaaga Viongozi mbalimbali wa Serikali na Vyama vya Siasa, wakati akiondoa Nchini akielekea Nchini Oman kwa ziara ya Kikazi ya Siku Nne Nchini humo.