Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Mwinyi amezungumza na Rais wa Taasisi ya YTB ya Uturuki.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Balozi wa Uturuki Nchini Tanzania Mhe. Dr.Mehmet Gulluoglu, alipofika Ikulu Jijini Zanzibar na Ujumbe wa Taasisi ya Ufadhili wa Masomo Nchini Uturuki (YTB) ukiongozwa na Rais wa taasisi hiyo Bw. Abdullah Eren (kulia kwa Rais) mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 7-12-2023.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na mgeni wake Rais wa Taasisi ya Ufadhili wa Masomo Nchini Uturuki (TYB) kutoka Wizara ya Utamaduni na Utalii inayoshughulikia Mambo ya Nje (kulia kwa Rais) Bw. Abdullah Eren na Balozi wa Uturuki Nchini Tanzania Mhe. Dr.Mehmet Gulluoglu, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 7-12-2023
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na mgeni wake Rais wa Taasisi ya Ufadhili wa Masomo Nchini Uturuki (TYB) kutoka Wizara ya Utamaduni na Utalii inayoshughulikia Mambo ya Nje (kulia kwa Rais) Bw. Abdullah Eren na Balozi wa Uturuki Nchini Tanzania Mhe. Dr.Mehmet Gulluoglu, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 7-12-2023
Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Mwinyi amezungumza na Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Umoja wa Ulaya Nchini Tanzania Ikulu Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika mazungumzo na mgeni wake Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Umoja wa Ulaya Nchini Tanzania.Bw. Martin Seychell, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 7-12-2023
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na mgeni wake Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Umoja wa Ulaya Nchini Tanzania Bw.Martin Seychell (kulia kwa Rais) akiwa na ujumbe wake, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 7-12-2023
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na mgeni wake Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Umoja wa Ulaya Nchini Tanzania. Martin Seychell alipofika Ikulu Jijini Zanzibar leo 7-12-2023, kwa mazungumzo yaliyofanyika katika ukumbi wa Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na mgeni wake Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Umoja wa Ulaya Nchini Tanzania Bw.Martin Seychell, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 7-12-2023
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na mgeni wake Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Umoja wa Ulaya Nchini Tanzania Bw.Martin Seychell (kulia kwa Rais) akiwa na ujumbe wake, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 7-12-2023
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiagana na mgeni wake Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Umoja wa Ulaya Nchini Tanzania Bw. Martin Seychell, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 7-12-2023
Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Mwinyi ameufungua Mkutano wa Kimataifa wa IDA 20
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kuufungua Mkutano wa Kimataifa wa Tathimini ya Muda,Wakati wa Mzunguko wa 20 wa Mapitio ya Benki ya Dunia (IDA20) akimuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan, unaofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar 6-12-2023
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika ukumbi wa mkutano katika Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar leo 6-12-2023, akimsikiliza Waziri wa Fedha na Mipango Tanzania Mhe. Dkt. Mwinguli Nchemba akizungumza,wakati wa Mkutano wa Kimataifa wa Tathimini ya Muda,Wakati wa Mzunguko wa 20 wa Mapitio ya Benki ya Dunia (IDA20) na (kulia kwa Rais) Rais wa Benki ya Dunia Mhe. Ajay Banga na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar Mhe.Dkt. Saada Mkuya Salum
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kuufungua Mkutano wa Kimataifa wa Tathimini ya Muda,Wakati wa Mzunguko wa 20 wa Mapitio ya Benki ya Dunia (IDA20) akimuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan, unaofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar 6-12-2023
WASHIRIKI wa Mkutano wa Kimataifa wa Tathimini ya Muda Wakati wa Mzunguko wa 20 wa Mapitio ya Benki ya Dunia (IDA20) wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia na kuufungua mkutano huo unaofanyika katika ukumbi wa hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar 6-12-2023, akimuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan
WASHIRIKI wa Mkutano wa Kimataifa wa Tathimini ya Muda Wakati wa Mzunguko wa 20 wa Mapitio ya Benki ya Dunia (IDA20) wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia na kuufungua mkutano huo unaofanyika katika ukumbi wa hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar 6-12-2023, akimuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika ukumbi wa mkutano wa Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Jijini Zanzibar wakati ukipigwa wimbo wa Taifa na wa Afrika Mashariki kabla ya kuaza kwa ufunguzi wa Mkutano wa Kimataifa wa Tathimini ya Muda ,Wakati wa Mzunguko wa 20 wa Mapitio ya Benki ya Dunia (IDA 20) na (kulia kwa Rais) Rais wa Benki ya Dunia Mhe. Ajay Banga na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar Mhe.Dkt. Saada Mkuya Salum
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akielekea katika ukumbi wa mkutano katika Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar leo 6-12-2023, kwa ajili ya ufunguzi wa Mkutano wa Kimataifa wa Tathimini ya Muda ,wakati wa Mzunguko wa 20 wa Mapitio ya Benki ya Dunia (IDA 20) akimuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan, na (kulia kwa Rais) Rais wa Benki ya Dunia Mhe. Ajay Banga na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar Mhe. Dkt. Saada Mkuya Salum na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Fedha na Mipango Tanzania Mhe.Dkt. Mwingulu Nchemba na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe.Idrisa Kitwana Mustafa
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Rais wa Benki ya Dunia Mhe.Ajay Banga, alipowasili katika viwanja vya Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar 6-12-2023, kwa ajili ya ufunguzi wa Mkutano wa Kimataifa wa Tathimini ya Muda wakati wa Mzunguko wa 20 wa Mapitio ya Benki ya Dunia (IDA20) na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar Mhe.Dkt. Saada Mkuya Salum
Rais wa Zanzibar amehutubia katika Mahafali ya 21 ya Chuo Kikuu cha Tunguu (Zanzibar University) Kibele Leo 5-12-2023
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikata utepe kukifungua Kituo cha Kujisomea cha Masafa Marefu katika Chuo cha ZU Zanzibar Kibele Tunguu Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja, wakati wa Mahafali ya 21 ya Chuo hicho yaliyofanyika leo 5-12-2023 na (kulia kwa Rais) Mkuu wa Chuo cha ZU Mhandisi Dkt..Abdulqadil Othman Hafiz na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe.Lela Muhamed Mussa
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, alimsikiliza Msaidizi na Mratibu wa Kituo cha Kisomo cha Masafa marefu wa Chuo cha ZU Kubele Tunguu Wilaya ya Kati Unguja, Muhusin Mustafa, baada ya kukifungua Kituo cha Kujisomea cha Masafa Marefu katika Chuo hicho, wakati wa hafla ya Mahafali ya 21 ya Chuo hicho yaliyofanyika leo 5-12-2023 katika viwanja vya Chuo Kibele Tunguu Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiondoa pazia na Mkuu wa Chuo cha ZU Mhandisi Dkt.Abdulqadir Othman Hafiz (kushoto) kukifungua Kituo cha kujisomea cha Masafa marefu, katika Chuo cha ZU Kibele Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja , wakati wa hafla ya Mahafali ya 21 ya chuo hicho yaliyofanyika leo 5-12-2023.na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisoma maelezo ya jiwe la msingi la ufunguzi wa Kituo cha Kujisomea cha Masafa marefi, katika Chuo cha ZU Kibele Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja, akiwa na Mkuu wa Chuo cha ZU Mhandisi Dkt. Abdulqadil Othman Hafiz,wakati wa hafla ya Mahafali ya 21 ya Chuo hicho yaliyofanyika leo 5-12-2023 katika viwanja vya Chuo hicho Kibele Tunguu Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika hafla ya 21 ya Chuo cha ZU Zanzibar Kibele Tunguu Wilaya Kati Unguja Mkoa wa Kusini Unguja leo 5-12-2023.
Dk.Mwinyi ameshiriki Chakula cha Usiku na GPE Ikulu mjini Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) alipokuwa akitoa hutuba yake wakati wa hafla ya Chakula cha Usiku alichowaandalia Uongozi wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Ushirikiano wa Elimu Duniani ya GPE Duniani katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar jana
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi alipokuwa akitoa hutuba yake wakati wa hafla ya Chakula cha Usiku alichowaandalia Uongozi wa Bodi ya GPE Duniani katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar jana
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) alipokuwa akitoa hutuba yake wakati wa hafla ya Chakula cha Usiku alichowaandalia Uongozi wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Ushirikiano wa Elimu Duniani ya GPE Duniani katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar jana
Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Ushirikiano wa Elimu Duniani (GPE) wakiwa katika hafla ya Chakula cha usiku kilichoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar jana
Baadhi ya Viongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Ushirikiano wa Elimu Duniani (GPE) wakimsikiliza Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Ushirikiano wa Elimu Duniani, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt . Mrisho Jakaya Kikwete (hayupo pichani) jana wakati wa hafla ya Chakula cha usiku kilichoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi, katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar jana.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Ushirikiano wa Elimu Duniani, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt . Mrisho Jakaya Kikwete (kushoto) alipokuwa akitoa hutuba yake wakati wa hafla ya Chakula cha Usiku kilichoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar jana.
Baadhi ya Viongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Ushirikiano wa Elimu Duniani (GPE) wakiwa katika hafla ya Chakula cha usiku kilichoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar jana.
Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Ushirikiano wa Elimu Duniani (GPE) wakiwa katika hafla ya Chakula cha usiku kilichoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar jana.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akiwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Ushirikiano wa Elimu Duniani, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt . Mrisho Jakaya Kikwete na Afisa Mtendaji Mkuu wa GPE Bibi. Laura Frigenti (kushoto) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi (kulia) katika hafla ya Chakula cha Usiku alichokiandaa kwa Bodi Uongozi wa Bodi ya GPE Duniani katika viwanja vya Ikulu jana Usiku.