Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Zanzibar
Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Zanzibar
  • Mwanzo
  • Ofisi ya Rais
    • Kwa Ufupi
    • Rais
    • Marais wa Zamani
  • Utawala
    • Baraza la Mapinduzi
    • Uongozi Ofisi ya Rais
  • Habari
    • Habari na Matukio
    • Picha
    • Video
    • Video 2
  • Machapisho
    • Hotuba
    • Mipango ya Utekelezaji
    • Machapisho
    • Ripoti
    • Bajeti
  • Blog
  • Mawasiliano
  • Ikulu
    State House Zanzibar

    State House Zanzibar

  • Habari
    News and Events

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akiwasili eneo la Mwanakwerekwe katika hafla ya ufunguzi wa Barabara ya Juu (Flyover) ya Dkt. Hussein Ali Mwinyi – Mwanakwerekwe, Mkoa wa Mjini Magharibi, ikiwa ni sehemu ya shamrashamra za maadhimisho ya Miaka 62 ya Mapinduzi ya Zanzibar.

  • Habari
    News and Events

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akikata utepe kuashiria uzinduzi wa soko la kisasa la mboga mboga liliopo Mombasa Wilaya ya Magharib "A" Mkoa wa Mjini Magharib Unguja leo tarehe 4 Januari 2026

  • Habari
    News and Events

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akiondoa pazia kuashiria uzinduzi wa Soko la Kisasa la mbogamboga lililopo maeneo ya Mombasa Mkoa wa Mjini Magharibi leo tarehe 04 Januari, 2026.

  • Habari
    News and Events

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe.Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akiondoa Pazia kuashiria ufunguzi rasmi wa Barabara ya Kitope–Ndagaa–Kidimni na kusisitiza kuwa ujenzi wa miundombinu ya barabara ni kichocheo kikubwa cha maendeleo ya kiuchumi nchini.

  • Habari
    News and Events

    Rais Dkt. Mwinyi akiondoa kipazia kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi la Mradi wa Ujenzi wa Daraja la Uzi Ng’ambwa pamoja na barabara zake, katika hafla iliyofanyika Uzi Ng’ambwa, Mkoa wa Kusini Unguja. Hafla hiyo ni sehemu ya shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 62 ya Mapinduzi ya Zanzibar.

Rais

Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi

  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Sema na Rais

Habari na Matukio

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kuimarisha Mfumo wa Kidigitali katika kudhibiti ajali na Makosa ya Barabarani.

  • 06 Jan 2026
  • by Ikulu Staff

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akiwasili eneo la Mwanakwerekwe katika hafla ya ufunguzi wa Barabara ya Juu (Flyover) ya Dkt. Hussein Ali Mwinyi – Mwana

  • 06 Jan 2026
  • by Ikulu Staff

Rais Mwinyi amefungua Flyover ya Dkt.Hussein Ali Mwinyi

  • 06 Jan 2026
  • by Ikulu Staff

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akikata utepe kuashiria uzinduzi wa soko la kisasa la mboga mboga liliopo Mombasa Wilaya ya Magharib “B” Mkoa wa Mjini

  • 04 Jan 2026
  • by Ikulu Staff
More Habari na Matukio

Video

Facebook

Machapisho

  • Risala ya Rais wa Zanzibar na MBLM Mhe: Dk.Hussein Ali Mwinyi kuuaga mwaka wa 2025 na kuukaribisha mwaka mpya wa 2026

    • 31 Dec 2025
  • Uteuzi wa Wakuu wa Mikoa na Manaibu Makatibu Wakuu

    • 15 Dec 2025
  • Dk.Mwinyi amewateua Makatibu Wakuu pamoja na Manaibu Makatibu Wakuu

    • 21 Nov 2025
  • Hotuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Dk. Hussein Ali Mwinyi katika uzinduzi wa Baraza la Kumi na Moja (11) la Wawakilishi 10 Novemba, 2025

    • 10 Nov 2025
  • English
  • Swahili
Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Zanzibar

Quick Links

  • Kwa Ufupi
  • Rais
  • Marais wa Zamani
  • Baraza la Mapinduzi
  • Uongozi Ofisi ya Rais
  • Ofisi ya Usalama wa Serikali

Sehemu za Tovuti

  • Blog
  • Habari na Matukio
  • Picha
  • Video
  • Tovuti Muhimu

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais
  • Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais
  • Katibu Mkuu wa Baraza la Mapinduzi
  • Baraza la Wawakilishi
  • Mamlaka ya Kukuza Vitega Uchumi Zanzibar
  • Wazara ya Nchi, Ofisi ya Rais, Fedha na Mipango
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiri Nje ya Nchi

Sema na Rais App

© Hakimiliki 2026 - Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Zanzibar

  • Mwanzo
  • Sera ya Faragha
  • Maulizo
  • E-Office
  • Barua Pepe