Toggle navigation
Leave this field blank
Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Zanzibar
Mwanzo
Ofisi ya Rais
Kwa Ufupi
Rais
Marais wa Zamani
Utawala
Baraza la Mapinduzi
Uongozi Ofisi ya Rais
Habari
Habari na Matukio
Picha
Video
Video 2
Machapisho
Hotuba
Mipango ya Utekelezaji
Machapisho
Ripoti
Bajeti
Blog
Mawasiliano
Ikulu
State House Zanzibar
State House Zanzibar
Habari
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa zawadi na Mkuu wa mkoa wa Kaskazini Unguja Mheshimiwa Gallos Nyimbo mara baada ya kujumuika na Waumini wa Dini ya Kiislamu katika futari ya pamoja aliyowaandalia wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Unguja.
Habari
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akizungumza alipojumuika na Waumini wa Dini ya Kiislamu katika futari aliyoiandaa kwa ajili ya wananchi wa Mkoa wa Mjini Magharibi.Hafla hiyo imefanyika leo tarehe 05 Machi 2026 katika Ukumbi wa Sheikh Idris Abdul Wakil, Kikwajuni, Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja.
Habari
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt .Hussein Ali Mwinyi akizungumza leo, tarehe 5 Machi 2026, alipokutana na Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya KCB Tanzania, Ndg. Cosmas Kimario, pamoja na Mwenyekiti wake wa Bodi, Balozi Peter Kallaghe, wakiongozana na watendaji wa benki hiyo waliofika Ikulu, Zanzibar
Habari
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Benjamin Mkapa iliyopo Dodoma amabae ameambatana na ujumbe wake, na ameipongeza Hospitali hiyo kwa mageuzi na mafanikio makubwa katika utoaji wa huduma za matibabu ya kibingwa kwa wananchi.
Habari
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akizungumza na waumini wa dini ya Kiislamu wakati alipoungana na waumini katika Sala ya Ijumaa iliyosaliwa Msikiti wa Fatma Bint Mirdas, Kilimani.
Rais
Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Sema na Rais
Habari na Matukio
Dkt. Mwinyi amesema Oman ni mshirika muhimu wa maendeleo ya Zanzibar.
11 Mar 2026
by Ikulu Staff
Dkt.Mwinyi amefutarisha Wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Unguja.
10 Mar 2026
by Ikulu Staff
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa zawadi na Mkuu wa mkoa wa Kaskazini Unguja Mheshimiwa Gallos Nyimbo mara baada ya kujumuika na Waumini
09 Mar 2026
by Ikulu Staff
Dkt. Mwinyi amesema Maadili ya Kiimani ni msingi wa Uongozi Bora.
09 Mar 2026
by Ikulu Staff
More Habari na Matukio
Video
Facebook
Machapisho
Risala ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Al Haj Dk. Hussein Ali Mwinyi ya Kuukaribisha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa Mwaka 2026 Miladia, sawa na Mwaka 1447 Hijria.
18 Feb 2026
HOTUBA YA RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHESHIMIWA DK. HUSSEIN ALI MWINYI KATIKA UFUNGUZI WA JENGO LA HUDUMA ZA MATIBABU YA DHARURA NA MAABARA KWENYE KITUO CHA AFYA MAKUNDUCHI
17 Jan 2024
HOTUBA YA RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHESHIMIWA DK. HUSSEIN ALI MWINYI, KATIKA KUADHIMISHA MIAKA 60 YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR
11 Jan 2024
RISALA YA RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHESHIMIWA DK HUSSEIN ALI MWINYI YA KUUAGA MWAKA 2023 NA KUUKARIBISHA MWAKA MPYA WA 2024
31 Dec 2023
English
Swahili