Rais Mwinyi ameipongeza Benki ya Stanbic kwa nia ya kutaka kufungua Tawi Zanzibar.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amepongeza uamuzi wa Benki ya Stanbinc Tanzania wa kuwa na Tawi Zanzibar kwani kutaongeza idadi ya Benki na kurahisisha…

Soma Zaidi

Serikali kukabiliana na maradhi yasiyoambukiza.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk, Hussein Ali Mwinyi amesema maradhi yasioambukiza ni tatizo linalokuwa na linalohitaji ushirikiano wa taasisi za ndani ya nchi na kimataifa…

Soma Zaidi

SMZ na SMT, zimeandaa mpango wa kuongeza vituo vya uchunguzi na matibabu ya saratani kwa kutumia teknolojia ya nyuklia wenye thamani ya Euro milioni 59

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali za SMZ na SMT, zimeandaa mpango wa kuongeza vituo vya uchunguzi na matibabu ya saratani kwa kutumia teknolojia…

Soma Zaidi

UVCCM Shanghai wamempongeza Rais Mwinyi kwa Mafanikio

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi, amekutana na Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa CCM kutoka Shina…

Soma Zaidi

Rais Mwinyi amesema China ni Mshirika Muhimu kwa Uchumi Wa Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema kwa kipindi cha miaka mingi, China imekuwa mshirika muhimu katika ukuaji wa uchumi Zanzibar kupitia…

Soma Zaidi

Rais Mwinyi amesema SMZ kujenga Kiwanja Kipya Cha Mpira wa miguu kwa ajili ya Afcon.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameendelea na ziara ya kikazi nchini China ambapo leo amekutana na kampuni mbalimbali zinazolenga kuwekeza…

Soma Zaidi