MKE wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Mama Mariam Mwinyi ameipongeza na kuishukuru taasisi ya “Merck Foundation”  kwa uamuzi wao wakuichagua Tanzania kuweka Mkutano wao wa 11

MKE wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Mama Mariam Mwinyi ameipongeza na kuishukuru taasisi ya “Merck Foundation” kwa uamuzi wao wakuichagua Tanzania kuweka Mkutano wao wa 11 ambao umedhihirisha wazi…

Soma Zaidi

.Dk.Hussein Ali Mwinyi ameondoka nchini kuelekea Doha,Qatar ambapo anatarajia kushiriki katika Mkutano wa Kimataifa wa kutimia miaka Thelathini ya Familia Duniani

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi ameondoka nchini kuelekea Doha,Qatar ambapo anatarajia kushiriki katika Mkutano wa Kimataifa wa kutimia miaka Thelathini…

Soma Zaidi

Zanzibar kuwa kituo cha Biashara cha Kimataifaidara.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapindizi Dk. Hussein Ali Mwinyi amewaahidi Wazanzibari kuibadili Zanzibar kuwa kituo bora cha biashara cha kimataifa kwa kutoa fursa za mwingiliano…

Soma Zaidi

Zanzibar imefungua Milango ya Fursa za Biashara na Uwekezaji

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema, Zanzibar imefungua milango wazi kwa fursa za biashara na uwekezaji na tayari imewakaribisha wadau mbalimbali…

Soma Zaidi

Dk. Mwinyi amewahimiza Viongozi wa Dini kuendelea kuhubiri Amani ya Nchi.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi amewasisitiza Viongozi, mashekhe na Waumini wa dini ya kiislamu kuendelea kuhubiri Amani Maadili na tabia njema…

Soma Zaidi