Toggle navigation
Leave this field blank
Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Zanzibar
Mwanzo
Ofisi ya Rais
Kwa Ufupi
Rais
Marais wa Zamani
Utawala
Baraza la Mapinduzi
Uongozi Ofisi ya Rais
Habari
Habari na Matukio
Picha
Video
Video 2
Machapisho
Hotuba
Mipango ya Utekelezaji
Machapisho
Ripoti
Bajeti
Blog
Mawasiliano
Ikulu
State House Zanzibar
State House Zanzibar
Habari
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Mkurugenzi Mpya, Mkaazi wa Benki ya Dunia Kanda ya Tanzania, Malawi, Zimbabwe na Zambia Bw. Firas Raad, aliyefika Ikulu, Zanzibar kujitambulisha baada ya kuchukuwa nafasi iliyoachwa wazi na Bw. Nathan Belete, aliyemaliza muda wake wa kazi.
Habari
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi akizungumza leo, tarehe 18 Mei 2026, alipokutana na aliyekuwa Mkurugenzi Mkaazi wa Benki ya Dunia Kanda ya Tanzania, Malawi, Zimbabwe na Zambia Bw. Nathan Belete, aliyefika Ikulu, Zanzibar kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa kazi pamoja na kumtambulisha Mkurugenzi Mpya, Bw. Firas Raad.
Habari
News and Events
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akizindua nyiimbo, alipojumuika na vijana wa CCM katika sherehe ya “DKT. MWINYI UVCCM USHINDI PARTY” iliyofanyika katika Ukumbi wa Chuo cha Vijana wa CCM Tunguu, Mkoa wa Kusini Unguja
Habari
News and Events
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akizungumza na Baraza la Wazee wa Afisi Kuu ya Chama Cha Mapinduzi leo tarehe 16 Mei 2026, Afisi Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar wakati mkutano maalum wa kutoa shukrani baada ya kumalizika kwa Uchaguzi Mkuu wa 2026, uliofanyika Ikulu Zanzibar.
Habari
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akizungumza na Jumuiya ya Mawakili ya Afrika Mashariki ushirikiano wa kina katika kuimarisha utawala wa sheria na ushirikiano wa kikanda katika nchi za Afrika Mashariki alipokutana nao Ikulu Zanzibar.
Rais
Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Sema na Rais
Habari na Matukio
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Mkurugenzi Mpya, Mkaazi wa Benki ya Dunia Kanda ya Tanzania, Malawi, Zimbabwe na Zambia Bw. Firas Raad
18 May 2026
by Ikulu Staff
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi akizungumza leo, tarehe 18 Mei 2026, alipokutana na aliyekuwa Mkurugenzi Mkaazi wa Benki ya Dunia Kanda ya Tanzania,
18 May 2026
by Ikulu Staff
Rais Dkt. Mwinyi ameipongeza Benki ya Dunia kwa Mchango wa Maendeleo Zanzibar.
18 May 2026
by Ikulu Staff
Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameupongeza Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) kwa kazi nzuri na ya kujitolea waliyoifanya wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2025
16 May 2026
by Ikulu Staff
More Habari na Matukio
Video
Facebook
Machapisho
Hotuba ya Waziri wa Nchi Afisi ya Rais - Ikulu Mheshimiwa Dkt. Saada Mkuya Salum (MBM) kuhusu makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa Fedha 2026/2027.
08 May 2026
Hotuba ya Waziri wa Nchi Afisi ya Rais - Ikulu Mheshimiwa Dkt. Saada Mkuya Salum (MBM) makadirio ya mapato na matumizi mwaka wa Fedha 2026/2027.
08 May 2026
Risala ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Al Haj Dk. Hussein Ali Mwinyi ya Kuukaribisha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa Mwaka 2026 Miladia, sawa na Mwaka 1447 Hijria.
18 Feb 2026
HOTUBA YA RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHESHIMIWA DK. HUSSEIN ALI MWINYI KATIKA UFUNGUZI WA JENGO LA HUDUMA ZA MATIBABU YA DHARURA NA MAABARA KWENYE KITUO CHA AFYA MAKUNDUCHI
17 Jan 2024
English
Swahili