Dkt. Mwinyi amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaimarisha Viwanja vya Michezo kukidhi viwango vya Kimataifa.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali inalenga kuviimarisha viwanja vya michezo nchini ili viwe bora na kukidhi viwango vya kimataifa.Amesema…

Soma Zaidi

SMZ kushusha Bei za kuunganisha Umeme Majumbani

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema kuwa Serikali itaendeleza miradi mbalimbali ya kimkakati katika sekta ya nishati kwa lengo la kuifanya…

Soma Zaidi

Tutaendelea kuwawezesha Wafanyabiashara na Wajasiriamali.

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali imejipanga…

Soma Zaidi

Serikali itaendelea kuwasaidia wavuvi, wachuuzi na wajasiriamali ili kuongeza kipato chao

Mgombea wa Nafasi ya Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi, ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema kuwa Serikali itaendelea…

Soma Zaidi