DK. SHEIN AMEWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA NYUMBA ZA KWAHANI.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein amesema kabla ya Mapinduzi ya 1964, Wazalendo wa Zanzibar walibaguliwa kwa makaazi kutokana na uwezo duni walionao.
Soma Zaidi