Dk. Hussein Ali Mwinyi ametoa pongeza kwa Umoja wa Maaskari Wastaafu (UMAWA),kwa kujenga chombo hicho ambacho kinawaweka pamoja askari waastaafu.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ametoa pongeza kwa Umoja wa Maaskari Wastaafu (UMAWA), kwa kujenga chombo hicho ambacho kinawaweka pamoja askari waastaafu.Rais…

Soma Zaidi

Dk. Hussein Ali Mwinyi ametoa salamu za rambirambi kwa familia za marehemu waliofariki kufuatia kula samaki wa kasa anayesadikiwa kuwa na sumu.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ametoa salamu za rambirambi kwa familia za marehemu waliofariki kufuatia kula samaki wa kasa anayesadikiwa kuwa na…

Soma Zaidi

Dk. Hussein Mwinyi ameishukuru Bodi ya Taasisi ya ‘Mkapa Foundation’ kwa kuona umuhimu wa kuichaguwa Zanzibar kuwa mwenyeji wa maadhimisho ya kumbu kumbu ya Rais wa Awamu ya tatu

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Mwinyi ameishukuru Bodi ya Taasisi ya ‘Mkapa Foundation’ kwa kuona umuhimu wa kuichaguwa Zanzibar kuwa mwenyeji wa maadhimisho…

Soma Zaidi

Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi amewataka waumin wa Dini ya Kiislamu Shehiya ya Unguja Ukuu, kutumia vyema msikiti wa Al-Noor kwa ajili ya kujadili matatizo yanayoihusu jamii na kuyatafutia ufumbuzi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi amewataka waumin wa Dini ya Kiislamu Shehiya ya Unguja Ukuu, kutumia vyema msikiti wa Al-Noor kwa ajili ya kujadili…

Soma Zaidi

Dk. Hussein Ali Mwinyi amehudhuria Mahafali ya 40 ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania yaliyofanyika katika uwanja wa Mao Ze Dong, Zanzibar.

CHUO Kikuu Huria cha Tanzania kimetakiwa kuangalia mitaala yake jinsi itakavyosaidia kuandaa Wataalamu watakaoweza kutekeleza dhamira ya kujenga uchumi mpya unaozingatia matumizi ya rasilimali…

Soma Zaidi