Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema kurejea kwa safari za anga za moja kwa moja kutoka Ufaransa hadi Zanzibar kutatoa msukumo mkubwa katika sekta ya Utalii na kukuza uchumi wa Taifa

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema kurejea kwa safari za anga za moja kwa moja kutoka Ufaransa hadi Zanzibar kupitia Shirika la Ndege la…

Soma Zaidi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amekutana na kufanya mazungumzo na uongozi wa Kampuni ya El sewedy ya nchini Misri

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amekutana na kufanya mazungumzo na uongozi wa Kampuni ya El sewedy ya nchini Misri na kuukaribisha kuja kuekeza Zanzibar…

Soma Zaidi

Dk.Hussein Ali Mwinyi amesisitiza haja kwa nchi za Bara la Afrika kuhakikisha zinafanya biashara ya pamoja

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesisitiza haja kwa nchi za Bara la Afrika kuhakikisha zinafanya biashara ya pamoja badala ya kuelekeza nguvu zaidi…

Soma Zaidi

Dk. Hussein Ali Mwinyi ametoa salamu za pole kwa Mhe: Dk. Ali Mohamed Shein kufuatia kifo cha Kaka yake Mzee Shein Mohamed Shein

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ametoa salamu za pole kwa Rais Mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Awamu ya Saba Mheshimiwa Dk. Ali Mohamed…

Soma Zaidi

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amewasili Jijini Darban Afrika kwa ajili ya kushiriki ufunguzi wa Mkutano wa Maonyesho ya Biashara baina ya nchi za Afrika.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amewasili Jijini Durban, nchini Afrika Kusini leo (Novemba 14,2021) kwa ajili ya kushiriki ufunguzi wa Mkutano wa…

Soma Zaidi