Dkt Mwinyi amesema Serikali itaendelea kuweka mkazo zaidi kuwasaidia Wakulima ili waweze kunufaika na Kuendesha Kilimo chenye tija.

Mgombea wa kiti cha Rais wa Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt, Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali itaendelea kuweka mkazo zaidi kuwasaidia Wakulima…

Soma Zaidi

Dkt. Hussein Mwinyi amesema Serikali ijayo itakuwa na kasi Mpya ya Maendeleo

Mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia CCM, Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar , ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameahidi kuongeza…

Soma Zaidi

Alhaj Dkt, Hussein Ali Mwinyi ametoa wito kwa Wanasiasa nchini kuyatumia Majukwaa ya Kampeni Kuhubiri Umoja na Mshikamano wa Wananchi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dkt, Hussein Ali Mwinyi ametoa wito kwa Wanasiasa nchini kuyatumia Majukwaa ya Kampeni Kuhubiri Umoja na Mshikamano wa Wananchi.Alhaj…

Soma Zaidi