Viongozi na Masheikh wa Jumuiya ya Khoja Shia Ithna-asheir wa kutana na Mhe. Dk.Shein

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Dk. Ali Mohamed Shein amesema kuwa nia na malengo ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kuimarisha sekta ya elimu ni makubwa…

Soma Zaidi

Dk.Shein amewapisha viongozi mbali mbali katika taasisi za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Dk. Ali Mohamed Shein amewapisha viongozi mbali mbali kushika nyadhifa katika taasisi za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar. Walioapishwa…

Soma Zaidi

Balozi wa Jamhuri ya Korea nchini Tanzanzia afanya mazungumzo na Mhe. Dk. Shein

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Balozi wa Jamhuri ya Korea nchini Tanzanzia Mhe,Song Geum-Young alipofika Ikulu Mjini Zanzibar…

Soma Zaidi

Mhe.Dk.Shein amefanya uteuzi wa viongozi katika Taasisi mbali mbali

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein amefanya uteuzi wa viongozi katika Taasisi mbali mbali za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kama ifuatavyo:-

Soma Zaidi

NEC yamkabidhi Ripoti ya Uchaguzi Rais wa Jamhuri ya Mkuungano wa Tanzania Mhe,John Pombe Magufuli

Baadhi ya Mawaziri na Viongozi wengine wakimsikiliza Rais wa Jamhuri ya Mkuungano wa Tanzania Mhe,John Pombe Magufuli alipokuwa akitoa hutuba yake mbele ya viongozi hao na waalikwa wakiwepo mabalozi…

Soma Zaidi

Balozi wa Afrika ya Kusini katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amtembelea Mhe.Dk.Shein,

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Balozi wa Afrika ya Kusini katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Thamsanga Dennis Msekelu…

Soma Zaidi

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki amtembelea Dk.Shein

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki Mhe,Augustino Mahiga alipofika Ikulu Mjini…

Soma Zaidi