DK. SHEIN AMEJUMUIKA NA WANANCHI WA KIBELE KATIKA FUTARI NYUMBANI KWAKE KIBELE.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein ameungana pamoja katika futari maalum aliyoiandaa yeye na familia yake kwa ajili ya wananchi mbali mbali wakiwemo…
Soma Zaidi