Habari

Mheshimiwa Issa Haji Ussi Gavu, ametuma salamu za rambi rambi kufatia kifo cha Balozi mdogo wa Oman

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Mhe. Issa Haji Ussi Gavu, amemtumia salamu za rambi rambi kwa Waziri anayeshughulikia Mambo ya Nje wa Oman Mhe. Yusuf bin Alawi…

Soma Zaidi

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa,Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ ameapishwa.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein amemuapisha Radhia Rashid Haroub kuwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Idara Maalum za SMZ.

Soma Zaidi

Japan kuendelea kuiiunga mkono Tanzania katika kuimarisha miradi mbali mbali ya maendeleo,

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesisitiza haja ya kuimarisha zaidi uhusiano na ushirikiano uliopo kati ya Tanzania na Japan hasa kwa kutambua hatua…

Soma Zaidi

Jaji Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania akimuapisha Dk.Shein kuwa mjumbe wa Baraza la mawaziri

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein akiapishwa na jaji Mkuu wa Tanzania Mheshimiwa Mohammed Chande Othman kuwa mjumbe wa Baraza la Mawaziri la Jamuhuri…

Soma Zaidi

Wafanyakazi msigeuze sehemu za kazi kuwa majukwaa ya siasa.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amewataka wafanyakazi nchini kutozigeuza sehemu za kazi kuwa majukwaa ya kisiasa badala yake kufanya kazi kwa bidii…

Soma Zaidi

Viongozi walioteuliwa na Dk. Shein waapishwa

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein amewapisha viongozi mbali mbali kushika nyadhifa katika taasisi za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar. Walioapishwa…

Soma Zaidi

Dk.Shein ameteua viongozi katika Taasisi za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein amefanya uteuzi wa viongozi katika Taasisi mbali mbali za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kama ifuatavyo:-…

Soma Zaidi