Dk.Shein amezungumza na Mabalozi wa Wilaya ya Micheweni na Chake Chake Pemba.

MAKAMO Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein amewahakikishia Mabalozi wa Wilaya ya Micheweni kuwa CCM itashinda kwa kishindo Uchaguzi Mkuu ujao wa mwaka 2020 kwani hakuna mbadala wa…

Soma Zaidi

Kazi kubwa ya Viongozi wa Chama cha Mapinduzi ni kuhakikisha kinashinda Uchaguzi Mkuu.

MAKAMO Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein amesema kuwa kazi kubwa ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuanzia Shina hadi Taifa ni kuhakikisha chama hicho kinashinda uchaguzi…

Soma Zaidi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein pamoja na Viongozi wengine wakinyanyua mikono juu wakati wakiimba wimbo maaluma wa mshikamano katika sherehe za Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani zilizofanyika

SIKU YA KILELE CHA WAFANYAKAZI DUNIANI.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesema kuwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kuwachukulia hatua kali wawekezaji au waajiri wote wanaokwenda…

Soma Zaidi

Dk.Shein amewasili mjini Dodoma kuhudhuria Sherehe za miaka 54 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amewasili mjini Dodoma kwa ajili ya kuhudhuria Sherehe za miaka 54 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.Katika uwanja…

Soma Zaidi

Dk.Shein Amempongeza Rais wa Misri Abdel Fattah El-Sisi

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amemtumia salamu za pongezi Rais wa Misri, Abdel Fattah El-Sisi kwa ushindi mkubwa alioupata kufuatia uchaguzi Mkuu…

Soma Zaidi

UTEUZI

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein amefanya uteuzi wa viongozi katika Taasisi mbali mbali za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kama ifuatavyo:-

Soma Zaidi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akizungumza na   Makamo wa Rais wa Shirika la Ndege la Misri EGYPTAIR Bw.Mohamed Alabbady alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo akiwa na  Ujumbe aliofuatana nao

DK.SHEIN AMEKUTANA NA MAKAMO WA SHIRIKA LA NDEGE LA MISRI EGYPTAIR.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein ameipongeza azma ya Shirika la Ndege la Misri (Egyptair) ya kuanzisha safari zake kati ya Misri na Zanzibar hatua ambayo…

Soma Zaidi
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akipokea Taarifa ya Utekelezaji wa Majukumu ya Tume ya Uchaguzi Zanzibar kwa kipindi cha miaka mitano (ZEC) kutoka kwa Mhe.Jecha Salim Jecha alipofika Ikulu Mjini Zanzibar.

TUME YA UCHAGUZI ZANZIBAR (ZEC) KUONANA NA RAIS DK.SHEIN.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein ameipongeza Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) kwa kutekeleza vyema majukumu yake ndani ya miaka mitano kwa kuendesha…

Soma Zaidi