Hakikisheni waliohusika na hujuma wanafikishwa katika vyombo vya Sheria

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amelitaka Jeshi la Polisi na Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka kuhakikisha kuwa watu wote waliohusika na vitendo vya…

Soma Zaidi

Zanzibar hapatakuwa tena na uchaguzi hadi mwaka 2020 na kwa hivi sasa .Dk. Shein yeye ndie Rais.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein amewaeleza wananchi kisiwani Pemba kuwa Zanzibar hapatakuwa tena na uchaguzi hadi mwaka 2020 na kwa hivi sasa yeye…

Soma Zaidi

Ushindi wa CCM umetokana na umoja na ushirikiano kati ya wanachama na viongozi wa chama

WANACHAMA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kisiwani Pemba wameeleza kuwa ushindi wa chama hicho katika uchaguzi mkuu uliopita umetokana na umoja na ushirikiano kati yao na viongozi wa chama hicho…

Soma Zaidi

Dk.Shein ziarani Pemba kuwashukuru wanachama wa CCM kwa ushindi waliompatia

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akizungumza na wanachama cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Chakechake Pemba…

Soma Zaidi

Dk. Ali Mohamed Shein ziarani Muungano wa Visiwa vya Comoro.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein anaondoka leo jioni kwenda Muungano wa Visiwa vya Comoro kwa ziara ya siku mbili.

Soma Zaidi

DK.Shein awaapisha Wakuu wa Mikoa na Wilaya.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein leo amewaapisha Wakuu wa Mikoa na Wilaya ambao aliwateua hapo jana.Walioapishwa ni Mheshimiwa Ayoub Mohamed Mahmoud…

Soma Zaidi

Dk. Ali Mohamed Shein amefanya uteuzi wa Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Dk. Ali Mohamed Shein amefanya uteuzi wa Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya kama ifuatavyo:

Soma Zaidi

Wazazi ungeni mkono jitihada za Serikali kuimarisha michezo kwa Vijana.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amezindua mashindano ya Shirikisho la Vyuo Vikuu na Taasisi za Elimu ya Juu Zanzibar (ZAHILFE) na kusisisitiza dhamira…

Soma Zaidi