MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar pia ni Rais  wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe Dk. Ali Mohamed  Shein akisalimiana na Rais Mstaaf wa Tanzania Mzee Ali Hassan Mwinyi,  alipowasili katika Uwanja wa Demokrasia Kibanda Mai

DK.SHEIN AMEMNADI MGOMBEA WA CCM.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambaye pia ni Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein amewataka wanaCCM pamoja na wananchi wote wa Zanzibar kumchagua Dk.…

Soma Zaidi
MAKAMU Mwenyekiti  wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar na Rais wa  Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,  akizungumza na Mgombea Urais wa Zanzibar Mhe.Dk. Hussein Mwinyi, baada  ya kumalizika kwa hafla ya Ufunguzi wa Kampeni

DK.SHEIN AMEMTAMBULISHA MGOMBEA WA NAFASI YA RAIS WA ZANZIBAR KWA TIKETI YA CCM.

MAKAMO Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesema kuwa Dk. Hussein Ali Hassan Mwinyi ni kiongozi mwenye…

Soma Zaidi

Alhaj Dk.Shein ameongoza mazishi ya Mweyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Amani Kichama

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Ali Mohamed Shein leo ameongoza mazishi ya Mweyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Amani Kichama marehemu Juma Khamis…

Soma Zaidi

Kamati kuu ya Chama imezipongeza Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Zanzibar

Kikao cha Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi kilichokaa leo chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli kimezipongeza Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa…

Soma Zaidi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma na Utawala Bora katika mkutano wa utekelezaji wa mpango kazi kwa kipindi cha mwaka 2020/2021

DK.SHEIN AMEKUTANA NA WIZARA YA NCHI OFISI YA RAIS UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein amesema Zanzibar imefanikiwa kupata mafanikio makubwa ya kiuchumi na kijamii kutokana na jitihada na uwezo wa Viongozi…

Soma Zaidi

Dk.Shein amemtumia pongezi Rais wa Jamhuri ya Watu wa India kwa kuadhimisha miaka 74 ya Taifa hilo.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein amemtumia salamu za pongezi Rais wa Jamhuri ya Watu wa India Shri Ram Kovind kwa kuadhimisha miaka 74 tokea Taifa hilo…

Soma Zaidi