DK.SHEIN AMEKUTANA NA UONGOZI WA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein ameutaka uongozi wa Wizara ya Katiba na Sheria kuendeleza uadilifu na usimamizi mzuri wa kazi zao hasa kwa vile Wizara…
Soma Zaidi