Rais Mwinyi amekutana na Uongozi wa Kampuni ya WUHAN nchini China

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi, katika ziara yake nchini China leo amekutana na ujumbe kutoka Kampuni ya Wuhan Guangfu Tangyuan Buer Cultural…

Read More

Serikali itaendelea kuimarisha sekta ya uwekezaji na shughuli za biashara ili kukuza uchumi na kuongeza fursa nyingi za ajira kwa vijana

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapindizi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali itaendelea kuimarisha sekta ya uwekezaji na shughuli…

Read More

SERIKALI ya Mapindizi ya Zanzibar imesema imeongeza bajeti ya Maendeleo kwa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali kutoka TZS bilioni 83.2 mwaka 2021/22 hadi kufikia TZS bilioni 518 mwaka 2024/2025.

SERIKALI ya Mapindizi ya Zanzibar imesema imeongeza bajeti ya Maendeleo kwa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali kutoka TZS bilioni 83.2 mwaka 2021/22 hadi kufikia TZS bilioni 518 mwaka 2024/2025.Rais…

Read More

Al hajj Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameitahadharisha jamii kuendelea kuitunza amani na mshikamano uliopo na kuendelea kujenga maendeleo ya nchi.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapindizi Al hajj Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameitahadharisha jamii kuendelea kuitunza amani na mshikamano uliopo na kuendelea kujenga maendeleo ya nchi.Amesisitiza…

Read More