Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali itaendelea kuongeza Bajeti ya Wizara ya Afya kadri hali ya Uchumi itakavyoimarika, ili kuhakikisha inatoa huduma bora za Afya nchini kote.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali itaendelea kuongeza Bajeti ya Wizara ya Afya kadri hali ya Uchumi itakavyoimarika, ili kuhakikisha…

Read More

Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema hatua ya Serikali ya kuongeza ujenzi wa madarasa katika skuli za Msingi na Sekondari nchini, utawawezesha wanafunzi kushiriki kikamilifu katika masomo ya Dini

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema hatua ya Serikali ya kuongeza ujenzi wa madarasa katika skuli za Msingi na Sekondari nchini, utawawezesha…

Read More

Dk. Hussein Ali Mwinyi ameiomba Serikali ya Marekani kusaidia juhudi za Serikali katika uzalishaji na kuliongezea thamani zao la Mwani

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameiomba Serikali ya Marekani kusaidia juhudi za Serikali katika uzalishaji na kuliongezea thamani zao la Mwani.Dk.…

Read More