Ikulu Blog

Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi amegawa vifaa vya uvuvi Micheweni.

  • Mke wa Rais wa Zanzibar Mhe.Mama Mariam Mwinyi pia Mwenyekiti wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation "ZMBF" (wa pili kushoto)akimkabidhi Boti, mashine,Kamba pamoja na vifaa mbali mbali Katibu wa kikundi cha IPO Sababu -Tumbe Bi.Kaije Said Bakari na Bikombo Rashid Ali (kulia) wakati wa hafla ya ugawaji wa Vifaa mbali mbali vya kilimo cha mwani kwa vikundi vya Wilaya ya Michweni Mkoa wa Kaskazini Pemba.

Mke wa Rais Mama Mariam Mwinyi amegawa vifaa vya uvuvi.

  • Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akimkabidhi Mkoba wenye mabuku,viatu pamoja sare za skuli Mtoto Haitham Marouk Fakih katika hafla ya kugawa vifaa vya watoto mayatima wa Wilaya za Chake chake na Micheweni Mikoa wa Pemba,hafla iliyofanyika jana katika ukumbi wa Makonyo  katika shamra shamra za maadhimisho ya miaka 59 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar 01/01/2023
  • Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akimkabidhi Mkoba wenye mabuku,viatu pamoja sare za skuli Mtoto Ismail Suleiman Ali Chake chake katika hafla ya kugawa vifaa vya watoto mayatima wa Wilaya za Chake chake na Micheweni Mikoa wa Pemba ,hafla iliyofanyika jana katika ukumbi wa Makonyo  katika shamra shamra za maadhimisho ya miaka 59 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar 01/01/2023.
  • Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi alipokuwa akizungumza na Viongozi na vikundi vya Ukulima wa mwani vya Wilaya ya  Mkoani katika hafla ya kugawa vifaa vya Uvuvi wa Mwani kwa vikundi katika  Wilaya ya Mkoani Mkoa wa Kusini Pemba,hafla iliyofanyika jana katika ukumbi wa Umoja Ni Nguvu Mkoani Pemba  katika shamra shamra za maadhimisho ya miaka 59 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar 01/01/2023.
  • Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi alipokuwa akimkabidhi Fimbo (White cane) Bi.Habiba Nassib Makame Gongomawe wa Wilaya ya Chake chake mwenye tatizo la kutoona katika hafla ya kugawa vifaa mbali mbali vikiwemo viti vya magurudumu,Fimbo (White cane) kwa watu wasioona,Magodoro na Fomu za Skuli pamoja na mikoba kwa watoto mayatima Wilaya za Chake chake  na Micheweni Mikoa wa Pemba, hafla iliyofanyika jana katika ukumbi wa Makonyo  katika shamra shamra za maadhimisho ya miaka 59 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar 01/01/2023
  • Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi alipokuwa akimkabidhi Fimbo (White cane) Mtoto Habibu Abdalla wa Chokocho Wilaya Micheweni mwenye tatizo la kutoona mwenye uhitaji maalum  katika hafla ya kugawa vifaa mbali mbali vikiwemo viti vya magurudumu,Fimbo (White cane) kwa watu wasioona,Magodoro na Fomu za Skuli pamoja na mikoba kwa watoto mayatima Wilaya za Chake chake  na Micheweni Mikoa wa Pemba ,hafla iliyofanyika jana katika ukumbi wa Makonyo katika shamra shamra za maadhimisho ya miaka 59 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar 01/01/2023.
  • Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akisalimiana na Viongozi alipowasili katika Ukumbi wa Umoja Ni Nguvu Mkoani Pemba jana kwa jili ya Kugawa vifaa vya Uvuvi kwa vikundi wa ukulima wa Mwani,katika shamra shamra za maadhimisho ya miaka 59 ya mapinduzi matukufu ya Zanzibar,01/01/2023.

Tamasha la Michezo Pemba

  • Wanamichezo wa vikundi mbali mbali wakimsikiliza   Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) wakati alipokuwa akitoa hutua yake  wakati wa Tamasha la Bonanza la michezo   lililofanyika kisiwani Pemba katika Wilaya ya Chakechake    Uwanja wa Gombani ya kale katika maadhimisho ya miaka 59 ya Mapinduzi ya Zanzibar 01/01/2023
  • Rais wa Zanziar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhi Cheti Mwakilishi wa Kikundi cha mazoezi cha IFM cha Dar es Salaam Ndg,Bin Rashid,wakati wa Tamasha la Bonanza la michezo  lililofanyika kisiwani Pemba,Uwanja wa Gombani ya kale Wilaya ya Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba katika maadhimisho ya miaka 59 ya Mapinduzi ya Zanzibar 01/01/2023
  • Rais wa Zanziar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhi Cheti Mwakilishi wa Kikundi cha mazoezi cha Zoni A Wilaya Mjini, Khamis Iddi Mohamed,wakati wa Tamasha la Bonanza la michezo  lililofanyika kisiwani Pemba, Uwanja wa Gombani ya kale Wilaya ya Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba katika maadhimisho ya miaka 59 ya Mapinduzi ya Zanzibar 01/01/2023.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akitoa hutua yake  wakati wa Tamasha la Bonanza la michezo lililofanyika leo kisiwani Pemba katika Wilaya ya Chake chake  Uwanja wa Gombani ya kale katika maadhimisho ya miaka 59 ya Mapinduzi ya Zanzibar.[Picha na Ikulu] 01/01/2023.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akitoa hutua yake  wakati wa Tamasha la Bonanza la michezo lililofanyika kisiwani Pemba katika Wilaya ya Chake chake    Uwanja wa Gombani ya kale katika maadhimisho ya miaka 59 ya Mapinduzi ya Zanzibar(kushoto) Mke wa Rais wa Zanziar Mama Mariam Mwinyi,akifuatia Waziri wa Habari,Vijana, Utamaduni na Michezo Mhe.Taia Maulid Mwita 01/01/2023.
  • Wanamichezo wa vikundi mbali mbali wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) wakati alipokuwa akitoa hutua yake  wakati wa Tamasha la Bonanza la michezo lililofanyika kisiwani Pemba katika Wilaya ya Chake chake    Uwanja wa Gombani ya kale katika maadhimisho ya miaka 59 ya Mapinduzi ya Zanzibar 01/01/2023.
  • Baadhi ya Vikundi vya mazoezi vikipita mbele ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi na Mama Mariam Mwinyi (hawayupo pichani) wakati wa Tamasha la Bonanza la michezo  lililofanyika leo kisiwani Pemba katika Wilaya ya Chakechake   Uwanja wa Gombani ya kale katika maadhimisho ya miaka 59 ya Mapinduzi ya Zanzibar 01/01/2023
  • Baadhi ya Vikundi vya mazoezi vikipita mbele ya  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi na Mama Mariam Mwinyi (hawayupo pichani) wakati wa Tamasha la Bonanza la michezo  lililofanyika leo kisiwani Pemba katika Wilaya ya Chake chake    Uwanja wa Gombani ya kale katika maadhimisho ya miaka 59 ya Mapinduzi ya Zanzibar 01/01/2023
  • Rais wa Zanziar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akipokea maandamano ya Vikundi mbali mbali vya mazoezi   wakati wa Tamasha la Bonanza la michezo  lililofanyika leo kisiwani Pemba,Uwanja wa Gombani ya kale Wilaya ya Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba katika maadhimisho ya miaka 59 ya Mapinduzi ya Zanzibar 01/01/2023. 
  • Rais wa Zanziar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akipokea maandamano ya Vikundi mbali mbali vya mazoezi   wakati wa Tamasha la Bonanza la michezo   lililofanyika kisiwani Pemba, Uwanja wa Gombani ya kale Wilaya ya Chake chake Mkoa wa Kusini Pemba katika maadhimisho ya miaka 59 ya Mapinduzi ya Zanzibar 01/01/2023. 
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi na Mama Mariam Mwinyi (katikati) pamoja na Viongozi wengine wakinyoosha Viungo katika baada ya matembezi ya Tamasha la Bonanza la michezo yaliyofanyika kisiwani Pemba Wilaya ya Chakechake   Uwanja wa Gombani ya kale katika maadhimisho ya miaka 59 ya Mapinduzi ya Zanzibar 01/01/2023.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi na Mama Mariam Mwinyi (katikati) pamoja na Viongozi wengine wakinyoosha Viungo katika baada ya matembezi ya Tamasha la Bonanza la michezo yaliyofanyika kisiwani Pemba Wilaya ya Chakechake Uwanja wa Gombani ya kale katika maadhimisho ya miaka 59 ya Mapinduzi ya Zanzibar 01/01/2023.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akiongoza matembezi wakati wa Tamasha la Bonanza la michezo yaliyo wajumuisha Viongozi mbali mbali na Vikundi vya mazoezi kuanzia Tibirinzi mpaka Uwanja wa Gombani ya kale katika maadhimisho ya miaka 59 ya Mapinduzi ya Zanzibar 01/01/2023.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akiongoza matembezi wakati wa Tamasha la Bonanza la michezo yaliyo wajumuisha Viongozi mbali mbali na Vikundi vya mazoezi kuanzia Tibirinzi mpaka Uwanja wa Gombani ya kale katika maadhimisho ya miaka 59 ya Mapinduzi ya Zanzibar 01/01/2023.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi alipowasili katika Masjid AL Swafaa Gongoni Wilaya ya Mjini, Mkoa Mjini Magharibi kwa kushiriki katika ibada ya Swala

Maadhimisho ya Siku ya Shukurani na Furaha kwa mlipakodi.