Ikulu Blog

Dk.Mwinyi amezungumza na Mabalozi wa Jumuiya ya Nchi zinazozungumza Kireno.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akilihutubia Baraza la Eid Al Hajj, lililofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Amali Mkokotoni Mkoa wa Kaskazini Unguja

Rais wa Zanzibar Dk.Hussein Ali Mwinyi amefika nyumbani kwa mfanyakazi wake kutoa mkono wa pole.

Rais Dk.Mwinyi ameshiriki swala ya Ijumaa Msikiti wa Miembeni Zanzibar.

Mke wa Rais Wa Zanzibar ambae ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation Mama Mariam Mwinyi amekabidhiwa msaada wa Vifaa kwa ajili ya utengenezaji wa Sabuni ya mwani kwa wanawake.