Ikulu Blog

Maadhimisho ya isku ya Wauguzi Dunian

  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akisisitiza jambo alipokuwa akizungumza na Wauguzi katika sherehe ya Maadhimisho ya Siku ya Wauguzi Duniani yaliyofanyika katika Ukumbi wa Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akisisitiza jambo alipokuwa akizungumza na Wauguzi katika sherehe ya Maadhimisho ya Siku ya Wauguzi Duniani yaliyofanyika leo katika Ukumbi wa Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar (kutoka kushoto) Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wauguzi Zanzibar (ZANA) Dkt.Rukia Rajab,Katibu Mkuu wa Baraza la Mapinduzi pia Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said na Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Mhe.Idrissa Kitwana Mustafa
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akipokea risala ya Wauguzi kutoka kwa Muuguzi Ndg,Saida Kheir Hamad katika sherehe ya Maadhimisho ya Siku ya Wauguzi Duniani leo katika Ukumbi wa Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar
  • Baadhi ya Wakurugenzi na Wafanyakazi wa Wizara ya Afya wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) alipokuwa akitoa hutuba yake katika sherehe ya Maadhimisho ya Siku ya Wauguzi Duniani leo katika Ukumbi wa Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar.
  • Waguzi wakila kiapo cha Utii katika sherehe za Maadhimisho ya Siku ya Wauguzi Duniani leo katika Ukumbi wa Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar,mgeni rasmi alikuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi (kushoto) Naibu Waziri wa Afya Mhe.Hassan Khamis Hafidh (wa pili kushoto)Katibu Mkuu wa Baraza la Mapinduzi pia Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said (kulia) na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wauguzi Zanzibar (ZANA) Dkt.Rukia Rajab wakisimama wakati wimbo wa Taifa ukipigwa katika Maadhimisho ya Siku ya Wauguzi Duniani leo katika Ukumbi wa Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akifuatana na Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Mhe.Idrissa Kitwana Mustafa (kushoto) na Naibu Waziri wa Afya Mhe.Hassan Khamis Hafidh (kulia) alipohudhuria katika Sherehe za Maadhimisho ya Siku ya Wauguzi Duniani leo katika Ukumbi wa Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi (kushoto) Naibu Waziri wa Afya Mhe.Hassan Khamis Hafidh (wa pili kushoto)Katibu Mkuu wa Baraza la Mapinduzi pia Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said (kulia) na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wauguzi Zanzibar (ZANA) Dkt.Rukia Rajab wakisimama wakati wimbo wa Taifa ukipigwa katika Maadhimisho ya Siku ya Wauguzi Duniani leo katika Ukumbi wa Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akipokea Maandamano ya wauguzi katika Maadhimisho ya Siku ya Wauguzi Duniani leo katika viwanja vya Ukumbi Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar (kushoto) Naibu Waziri wa Afya Mhe.Hassan Khamis Hafidh
  • Baadhi ya waunguzi wakiwa katika maandamano na mabango yanayotoa ujumbe mbali mbali katika maadhimisho ya Siku ya Wauguzi Duniani yaliyofanyika leo katika viwanja vya Ukumbi Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanziba,mgeni rasmi alikuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi.

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na kuzungumza na Waziri Mkuu Mstaafu wa Uingereza Mhe. Tony Blair Ikulu Zanzibar.

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Mwinyi amezungumza na Balozi wa Canada Nchini Tanzania Ikulu

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na mgeni wake Balozi wa Canada Nchini Tanzania Kyle Nunas, alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu leo 3-5-2023
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiagana na mgeni wake Balozi wa Canada Nchini Tanzania. Mhe.Klye Nunas, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar 3-5-2023
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na mgeni wake Balozi wa Canada Nchini Tanzania Kyle Nunas, alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu 3-5-2023

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Mwinyi amefungua Kongamano la kuadhimisha Miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar katika Ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja.

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kulifungua Kongamano la Kuadhimisha Miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh. Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 25-4-2023.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kulifungua Kongamano la Kuadhimisha Miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh. Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar25-4-2023.
  • MTOA Mada Mhe. Stephen Masatu Wasira akiwasilisha Mada yake kuhusu Historia ya Umuhimu wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, wakati wa Kongamano la Kuadhimisha Miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar,lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh. Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 25-4-2023.
  • MTOA Mada Mhe.Balozi Mohammed Haji Hamza akiwasilisha Mada yake kuhusu Fursa Ziliopo kwa Vijana Ndani ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, wakati wa Kongamano la Kuadhimisha Miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar,lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh.Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar 25-4-2023
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akipiga makofi kumpongeza Mwasilishaji wa Mada Mhe. Stephen Wasira, wakati akiwasilisha Mada yake katika Kongamano la Kuadhimisha Miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh.Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar 25-4-2023
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiagana na Prof. Patrick Lumumba baada ya kulifungua Kongamano la Kuadhimisha Miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh.Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar 25-4-2023 na (kulia kwa Rais) Mhe. Stephen Wasira.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kulifungua Kongamano la Kuadhimisha Miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh. Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar 25-4-2023.

Rais wa Zanzibar Alhajj Dk.Hussein Mwinyi amelihutubia Baraza la Eid El Fitry ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Zanzibar 22-4-2023.

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na kuagana na Rais Mstaafu wa Zanzibar Alhajj Dkt.Amani Karume na Rais Mstaaf wa Zanzibar Alhajj Dk.Ali Mohamed Shein, baada ya kumalizika kwa Baraza la Eid El Fitry lililofanyika 23-4-2023 katika ukumbi wa Sheikh. Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar.
  • RAIS Mstaafu wa Zanzibar Alhajj Dk.Ali Mohamed Shein akiwasalimia Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, wakati akiondoka katika ukumbi wa Sheikh.Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar, baada ya kumalizika kwa Baraza la Eid El Fitry, lililofanyika 22-4-2023 katika ukumbi huo na kuhutubiwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi.
  • VIONGOZI na Wageni waalikwa wakijumuika katika kuitikia dua ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Saleh Omar Kabi(hayupo pichani) baada ya kumalizika kwa Baraza la Eid El Fitry lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh.Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibarb 22-4-2023.
  • MABALOZI Wadogo wanaofanyia Kazi zao Zanzibar wakijumuika katika kuitikia dua ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Saleh Omar Kabi (hayupo pichani) baada ya kumalizika kwa Baraza la Eid El Fitry lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar na kuhutubiwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi 22-4-2023
  • BAADHI ya Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar wakijumuika katika kutikia dua ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Saleh Omar Kabi (hayupo pichani) baada ya kumalizika kwa hutuba ya Baraza la Eid El Fitry, lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh. Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar lililohutubiwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi, 22-4-2023
  • VIONGOZI wa Serikali na Marais Wastaafu wa Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Baraza la Eid El Fitry, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akilihutubia katika ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja leo 22-4-2023, baada ya kumalizika kwa mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika katika kutikia dua ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Saleh Omar Kabi, baada ya kumalizika kwa hutuba ya Baraza la Eid El Fitry lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 22-4-2023, baada ya kumalizika kwa mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan na (kushoto kwa Mufti) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman na (kulia kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba,Sheria, Utumishi na Utawala Bora Zanzibar Mhe. Haroun Ali Suleiman na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Othman Masoud Othman
  • MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akiwatunza Wasomaji wa Qaswida Maalum iliyoandaliwa kwa ajili ya Baraza la Eid El Fitry, lililofanyika katika ukumbi wa Sheikh.Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar 22-4-2023