Habari

Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Benki Kuu ya Tanzania (BOT) ni mdau muhimu wa sekta ya maendeleo Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Benki Kuu ya Tanzania (BOT) ni mdau muhimu wa sekta ya maendeleo Zanzibar pia ni mshauri mzuri kwa masuala…

Soma Zaidi

Dk. Hussein Ali Mwinyi amezitaka Jumuiya za Chama hicho kujijenga kwa nguvu za kiuchumi ili zitekeleze majukumu yao kwa ufanisi mkubwa

MAKAMO Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amezitaka Jumuiya za Chama hicho kujijenga kwa nguvu za kiuchumi…

Soma Zaidi