Media

Dk.Shein amekutana na Uongozi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC)

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amekutana na uongozi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na kusisitiza haja ya kuendeleza umoja na mashirikiano yaliopo…

Read More

Dk.Shein ameipongeza Serikali ya Nigeria kwa kuendelea kuiunga mkono Zanzibar.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein ameipongeza Serikali ya Nigeria kwa kuendelea kuiunga mkono Zanzibar katika kuimarisha sekta ya elimu na kueleza haja…

Read More

Dk.Shein Amekutana na Kamishna wa Polisi Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesisitiza haja kwa Jeshi la Polisi kuendelea kufanya kazi zake vyema hapa Zanzibar ili kuimarisha amani na utulivu…

Read More

Dk.Shein Amezindua Jengo la Mahakama ya Wilaya Mwanakwerekwe

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesema kuwa kukamilika kwa ujenzi wa Mahakama ya Wilaya Mwanakwerekwe kutatoa fursa kwa Mahakimu watakaoitumia Mahkama…

Read More

Dk.Shein amefanya Mazungumzo na Balozi wa Indonesia.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amepongeza azma ya Indonesia ya kukuza uhusiano na ushirikiano kati yake na Zanzibar katika sekta ya utalii, biashara…

Read More

Dk.Shein Ameshiriki Katika Chakula cha Mchana na Vikosi vya SMT na SMZ

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein leo ameungana pamoja na Wapiganaji wa Vikosi vya Ulinzi walioshiriki katika gwaride la kutimiza miaka 54 ya Mapinduzi…

Read More

Dk.Shein ameondoka nchini kwenda nchi za Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE)

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein ameondoka nchini leo kwenda nchi za Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kwa ziara ya wiki moja kufuatia muwaliko wa viongozi…

Read More