Dkt. Hussein Ali Mwinyi amewaagiza watendaji wa Serikali wanaotoa huduma viwanja vya ndege vya kimataifa vya Abeid Amani Karume waendane na kasi ya wawakezaji.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi amewaagiza watendaji wa Serikali wanaotoa huduma viwanja vya ndege vya kimataifa vya Abeid Amani Karume waendane…
Soma Zaidi