Habari

Dk.Mwinyi ameiagiza Mamlaka ya Kuzuia Rushwa (ZAECA) kufanya uchunguzi ili kubaini namna Mkandarasi wa Kampuni ya Ujenzi ya Associated Investment Company Limitted alivyopata kazi ya ujenzi wa Skuli.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameiagiza Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu Uchumi Zanzibar (ZAECA) kufanya uchunguzi ili kubaini namna Mkandarasi…

Soma Zaidi

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itahakikisha inayajenga wenyewe masoko ya Jumbi, Mwanakwerekwe na Chuini kupitia Jeshi a Kujenga Uchumi Zanzibar (JKU).

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameeleza kwamba Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itahakikisha inayajenga wenyewe masoko ya Jumbi, Mwanakwerekwe na…

Soma Zaidi

Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali haina tatizo na kikundi cha Wajasiriamali kuongezewa kiwango zaidi cha mkopo, baada ya kumaliza malipo ya mkopo wa awali

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali haina tatizo na kikundi cha Wajasiriamali kuongezewa kiwango zaidi cha mkopo, baada ya kumaliza malipo…

Soma Zaidi

Dk. Hussein Ali Mwinyi ameeleza kwamba ujenzi wa viwanja vya michezo vya kisasa hapa Zanzibar kutasaidia kwa kiasi kikubwa kuinua vipaji kwa vijana

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameeleza kwamba ujenzi wa viwanja vya michezo vya kisasa hapa Zanzibar kutasaidia kwa kiasi kikubwa kuinua vipaji…

Soma Zaidi

Dk. Hussein Ali Mwinyi amezitaka Manispaa kubadilika na kutofanya kazi kizamani na badala yake zitafute fedha kwa ajili ya miradi kwenye maeneo yao hasa ya Mjini

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amezitaka Manispaa kubadilika na kutofanya kazi kizamani na badala yake zitafute fedha kwa ajili ya miradi kwenye…

Soma Zaidi